Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Achana na bia kabisa mkuu kama unataka kuacha.Nzuriiii
Kesho tunakunywaa bia na kuimba wimbo wetu ..make hizi siku naonja sinywiiii...
Kuzimu hakuna bia ....
Mimi nakula kidogo kwa afya tuu.
Achana na bia kabisa mkuu kama unataka kuacha.Nzuriiii
Kesho tunakunywaa bia na kuimba wimbo wetu ..make hizi siku naonja sinywiiii...
Kuzimu hakuna bia ....
Mmmh kunaonekana kuna mautramu mpaka utake kujitekesha tena acha na mimi na baba d wangu tuendelee kutekanaZa mimi salama tuu.. sijui ww ndugu yangu..
Huku nilikotekwa ni kwema n soon ntajitekesha tena..


hakuna namna ingine ila tulikumiss sana ujue tulimiss mambo zako zileKuna watu lazima wataona mazingaubwe kesho.Nimeshazoea mie T naona kawaida tu
Hivi baba d atafurahi mimi na wewe tukiachana jaman asinifanyie hivyoSimuelew
Bongo movieKuna watu lazima wataona mazingaubwe kesho.
Stay tuned.




hi mke mweeMke mweeee hi!![]()
![]()

UmeanzaMama vifunguu
Hahahaaaa...nimefurahi tu shem jaman
Tuwazima hofu kwakoNawasalimia tu mimi jamaan katika jina la Bwana Yesu kristo![]()
Safi tuu mkuu...Niajeee mkuu
Wife sijui unamsimuliaga nn make kuna kipindi huwa anakuuliziaa
SawaNapita tuu njia.. shemeji kunyoosha miguu.
EwaaaaaaaSafi tuu mkuu...
Mkeo ni swahiba wangu.. nadhan kuishi nae vizur ndio sababu..

Hizo emoji zako na uncle makaveli
Hata mie nashkuru kwa hili..![]()
![]()
Ika nmemithi kufichwa.![]()
![]()
![]()
uctifanyie hvo jamani mara hii umemiss kutekwa
Me mzima sana mke mwee shemela wangu shululu jaman anaendeleajeTuwazima hofu kwako