mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Marhabaa mjukuu wangu..... Jambo weweBabu shikamoo
Marhabaa mjukuu wangu..... Jambo weweBabu shikamoo
Aminaau pacha wako mama n jaman nashkuru dada angu kama mzima ndio furaha yangu ujue Yesu akutunze nakupenda tu mimi
![]()
thanx ndugu yangu, Niliwamisi zaid. Mie nasema endeleeni tu kutekana maana hamna namna.Mmmh kunaonekana kuna mautramu mpaka utake kujitekesha tena acha na mimi na baba d wangu tuendelee kutekanahakuna namna ingine ila tulikumiss sana ujue tulimiss mambo zako zile
Like you mnoo ndugu yangu
Nthamee ndugu yangu..Umeanza
Amina
Huyo ni pacha angu!!!!



najua mana dada hilo tabasamu la rihanna ujue wewe ndio cheko lako la mwisho yaan kakufanana sana
Watu wasiojulikana tena hao maka acha waendelee kukuteka wewe tuthanx ndugu yangu, Niliwamisi zaid. Mie nasema endeleeni tu kutekana maana hamna namna.
Kutekwa raha bhana hasa ukitekwa na watu wasiojulikana..
Zisikutie hofu mufti...Hizo emoji zako na uncle makaveli
Asante sana makaLike you mnoo ndugu yangu
Kabisaa yaaani haujakosea mdogo wangunajua mana dada hilo tabasamu la rihanna ujue wewe ndio cheko lako la mwisho yaan kakufanana sana
Sijambo babu yangu jaman unaendeleaje mambo zakoMarhabaa mjukuu wangu..... Jambo wewe
![]()
![]()
uctifanyie hvo jamani mara hii umemiss kutekwa
... Ndio shemej
AhahahhhNthamee ndugu yangu..
Kuwa na amani tuu..Naona emoji zako na shunie..!
Salam lakini?
Hahahanimevuta picha ujue mama n
Tekaneni jaman hakuna namna ingine haswa upate wa kukuteka vizuri maji utaita mma![]()
Umzima wwNajua mdogo wangu
Mie Sijambo