Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mmmh kunaonekana kuna mautramu mpaka utake kujitekesha tena acha na mimi na baba d wangu tuendelee kutekana hakuna namna ingine ila tulikumiss sana ujue tulimiss mambo zako zile
thanx ndugu yangu, Niliwamisi zaid. Mie nasema endeleeni tu kutekana maana hamna namna.

Kutekwa raha bhana hasa ukitekwa na watu wasiojulikana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom