moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
kakufanyaje jamanAendelee na tabia yke tutaonana wabaya ujue
Tena ndo mwenyeketi huyo![]()
![]()
amezoea kukuona kwenye umbea
Afu shunie wewe ndo unamponza shemelaUjue huyo ni mume wa mtu baba wa familia usitutishe jamaan
![]()
![]()
![]()
wenzio tunamtegemea mtawa mtarajiwa huyo,akiachika tu anaenda utawani so anafanya mazoezi
Aisee watakula jeuri yao umewaponza siwawekei tena wamsubiri mama akirudi tena mwakani![]()
![]()
hili kwangu nalo pia ni maajabu 7 yadunia
Nipo mond...
Kuna project nilikuwa namalizia mkuu.
What's up dude?
Ila wewe na majunguUkienda tu kwenye makinikia cjui mama Ashura na mateller namcindikiza kuomba taraka mahakamani
Mtakula jeuri yenu
Shemela umeona hapo moneytalk alinijibu mimi alivyoona sala ukaja kumquote hivyo
pole mama mchungaji
Ebu baba d muone jamaan binamu yakoNamuonaa tu
Kwahiyo mnaombea kumbe nikuje kuachika eenh![]()
![]()
![]()
wenzio tunamtegemea mtawa mtarajiwa huyo,akiachika tu anaenda utawani so anafanya mazoezi
Hapo chacha,hku ni mama mchungaji mdogoTena ndo mwenyeketi huyo
Wewe una kesi na mm kabla sijasema ulikopeleka galaxy yakoTehe tehe tehe tehe, mtawa mtarajiwa. Hivi vichekesho kuendelea kuvipata andika *#06*12wasiojulikana.jf#
Na hawez kuachikaa ...kisebusebu chako na roho mbayaa yako ushindweee






Aisee watakula jeuri yao umewaponza siwawekei tena wamsubiri mama akirudi tena mwakani
Tehe tehe tehe tehe, mtawa mtarajiwa. Hivi vichekesho kuendelea kuvipata andika *#06*12wasiojulikana.jf#
