manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Dada angu wote tupo poa sana..Sijui wewe unaendeleaje?Salama Bro mzima?
Wifi anaendeleaje?
Dada angu wote tupo poa sana..Sijui wewe unaendeleaje?Salama Bro mzima?
Wifi anaendeleaje?
Nashukuru sana kusikia hivyo..Pamoja sana..Kweli anahitaji msaada aisee. Shemeji yako mzima kabisa kaka
pamoja sana kakaNashukuru sana kusikia hivyo..Pamoja sana..
Utasikia Yanga inahusika. Kumbe ujinga wao ndo umewaponza Azam
Azam kumbe walimchezesha mchezaji mwenye 3 YELLOW CARDSUtasikia Yanga inahusika. Kumbe ujinga wao ndo umewaponza Azam
Emmyguy anakuhitaji mchekiPamoja sana kamanda..Wacha tukimbizeeeee.
Wamepokonywa three pointsAzam kumbe walimchezesha mchezaji mwenye 3 YELLOW CARDS
..............
Tukishinda mechi na mbeya city shughuli ndo imeisha hapoUbingwa wetu tyr
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Wakati hata kwenye kikao cha kwanza hakupata mwaliko.....
Sio lazima tushinde inatakiwa Kimba SC adraw au kufungwa J2 ili sisi tupate ubingwa kmLeicester bila jashoTukishinda mechi na mbeya city shughuli ndo imeisha hapo
Kaka niajezPamoja sana kamanda..Wacha tukimbizeeeee.
Hahahah shangaa wewe Dada yanguWakati hata kwenye kikao cha kwanza hakupata mwaliko.....
Wizi mtupuuuu
Rahaaaaaa
Afungwe tu hakuna namnaSio lazima tushinde inatakiwa Kimba SC adroo au kufungwa J2 ili sisi tupate ubingwa kmLeicester bila jasho
![]()
![]()
![]()
.................