Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Mie mzima.mamii mzima!
Mie mzima.mamii mzima!
Nzuri mzima?Poa habari yako.
KaribuMie mzima.
KachemshaKatokea chumbani kwa wakongwe halafu anajifanya kapuku
![]()
![]()
![]()
![]()
....................
Wala hatumpi kikiMpotezee tu
Sanasana katupaisha tu
Wala rusijibizane nae
....................
Niko poa kabisa.Nzuri mzima?
Kachemsha
Nashauri mpige kimya, mnapo mtaja mnawafanya wengine watembelee uzi wakeWala hatumpi kiki
Sio Kijita ni KihayaUmeamua kutuletea Kijita chako hapa?
Mwasibao ndo nini sasa?
Jf haijawa ya kijita.
Nina nguvu nyingi wacha nibebe tu nimekosa mtu wa kumpiga nitautua siku Simba akiacha kuwindaAna ugonjwa wa kubeba mizigo
KaribuNina nguvu nyingi wacha nibebe tu nimekosa mtu wa kumpiga nitautua siku Simba akiacha kuwinda
AsanteKaribu
Kuni bado hazijaisha.Aiseee. ....Moto unazidi kuwaka. .
Nimeshajikaribisha, hivi mhuni yuko wapi?Karibu
Dume mwenzio wamtakia niniNimeshajikaribisha, hivi mhuni yuko wapi?
....................................
JF members waliofanikisha walichotaka 2016.!
..........................................
Huyu jamaa mzushi eti kashiriki kuanzisha Makapuku Forum
Kick zinatafutwa kwa nguvu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........,......
hii ndo JF. Eti alishirikiana na Bitoz na Th Name kuanzisha Makapuku forum hahahahaHalafu hiyo th jina, ndo mimi eeh hahahaha kijana angaliaMbele ya mtumishi wa Bwana bishop jambilo, braza yangu youngblood, Mkuu wa kaya na th jina, niko tayari.
![]()
![]()
![]()