mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,336
- 6,426
Miss u humu makapuku
Safi sana. Hope uko poaWakuu habarini za jion...?
Poa sana Mkuu..Safi sana. Hope uko poa
Shemeji yangu mzima?Poa sana Mkuu..
Kanichekesha sana
Hopefully amaizing shemeji yako atakuwa mzima nimesafiri kidogo niko mbali na hme kwa siku 2 sasa, Nimewasiliana naye kasema yupo poa sana japo anaogopa tu kulala mwenyewe usiku akaniomba kama kuna Shemeji yake yeyote ninae muamin nimwambie aende akampe ulinzi usiku..Nawaza ni nani ataweza kuwa mwaminifu?Shemeji yangu mzima?
Kwani shemeji yangu sio jasiri wa kulala peke kweli mpaka sasa duuuhHopefully amaizing shemeji yako atakuwa mzima nimesafiri kidogo niko mbali na hme kwa siku 2 sasa, Nimewasiliana naye kasema yupo poa sana japo anaogopa tu kulala mwenyewe usiku akaniomba kama kuna Shemeji yake yeyote ninae muamin nimwambie aende akampe ulinzi usiku..Nawaza ni nani ataweza kuwa mwaminifu?
Mkuu umeadimikaHopefully amaizing shemeji yako atakuwa mzima nimesafiri kidogo niko mbali na hme kwa siku 2 sasa, Nimewasiliana naye kasema yupo poa sana japo anaogopa tu kulala mwenyewe usiku akaniomba kama kuna Shemeji yake yeyote ninae muamin nimwambie aende akampe ulinzi usiku..Nawaza ni nani ataweza kuwa mwaminifu?
Hahahahah kazi kweli kweliKanichekesha sana
Nimecheka kwa sauti
![]()
![]()
![]()
![]()
......................
Mkuu mtoto mwenyewe mlaini mbaya yaani biskut yenyewe hawezi ikata mpaka ailoweke so msaada anaohitaji ni hadi wa kufunguliwa mlango ili asije pata sugu za mikono....Vp lakin Shemeji yangu lizziebettie yuko poa?Kwani shemeji yangu sio jasiri wa kulala peke kweli mpaka sasa duuuh
Mkuu nitataitiwa kimtindo kwa siku kama 7 hivi ntakuwa naingia huku kimachale ila mambo yapo poa sana mkuu wangu..Vp town lakin?Mkuu umeadimika
Salama Bro mzima?Wakuu habarini za jion...?
Kweli anahitaji msaada aisee. Shemeji yako mzima kabisa kakaMkuu mtoto mwenyewe mlaini mbaya yaani biskut yenyewe hawezi ikata mpaka ailoweke so msaada anaohitaji ni hadi wa kufunguliwa mlango ili asije pata sugu za mikono....Vp lakin Shemeji yangu lizziebettie yuko poa?
Dawa ni kumuignore km wenzake waliotangulia kututajataja MakapukuHahahahah kazi kweli kweli
Poa sana mkuuMkuu nitataitiwa kimtindo kwa siku kama 7 hivi ntakuwa naingia huku kimachale ila mambo yapo poa sana mkuu wangu..Vp town lakin?
Pamoja sana kamanda..Wacha tukimbizeeeee.Poa sana mkuu
Ndo manake swahiba. Watu wanatafuta kick tuDawa ni kumuignore km wenzake waliotangulia kututajataja Makapuku
Tufanye yetu
.....................