Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Sanaaaaaa yani raha mpaka basiYes!.
Kama vipi tumkaushie tuone atafika wapi.
Jf raha sana.
Sanaaaaaa yani raha mpaka basiYes!.
Kama vipi tumkaushie tuone atafika wapi.
Jf raha sana.
Wakongwe watajaribu mbinu zote kukwea juu Chit chat lkn HOLLAH ..... Wanaleta thread inakaa siku 1 kisha wanapoteanaKapuku forum ni zaidi ya tamthilia ya Isidingo.
Wewe nipe password yako ntakuwa nakusaidia.
Mkuu ntakupatia tu usijali, ila ndo ivo PM kuna sms za watoto wakali humu makapuku wananizimia... so nipe neno lako kwanza kwamba utayaacha utakayoyaona PM kama yalivyo
Ndo maana yake dada.Yule anatafuta umaarufu tu, sasa dawa yake ni kumpotezea, mi ndo kwanza nimemuona leo hata sijui katokea wapi?
Hapa ndo naona vile Makapuku ni homa ya dengue ama nene![]()
Katokea chumbani kwa wakongwe halafu anajifanya kapukuYule anatafuta umaarufu tu, sasa dawa yake ni kumpotezea, mi ndo kwanza nimemuona leo hata sijui katokea wapi?
Hapa ndo naona vile Makapuku ni homa ya dengue ama nene![]()
Mpotezee tuNatamani mods wafanye yao kwenye ule uzii![]()
![]()
![]()
Ntafurahi sana nikiona umeletwa hapa kusema kweli ili achoreke zaidi
Inabidi le prezdaa awasiliane na mods ili uzi uunganishwe hapa.Natamani mods wafanye yao kwenye ule uzii![]()
![]()
![]()
Ntafurahi sana nikiona umeletwa hapa kusema kweli ili achoreke zaidi
Makapuku team ni mziki mnene.Wakongwe watajaribu mbinu zote kukwea juu Chit chat lkn HOLLAH ..... Wanaleta thread inakaa siku 1 kisha wanapoteana
![]()
![]()
![]()
![]()
......................
Mbele ya mtumishi wa Bwana bishop jambilo, braza yangu youngblood, Mkuu wa kaya na th jina, niko tayari.![]()
![]()
Mkuu ntakupatia tu usijali, ila ndo ivo PM kuna sms za watoto wakali humu makapuku wananizimia... so nipe neno lako kwanza kwamba utayaacha utakayoyaona PM kama yalivyo

Thread nyepesi ile dawa ni kuignore/kuikaushiaInabidi le prezdaa awasiliane na mods ili uzi uunganishwe hapa.
na anachokitafta ni makapuku kujibizana nae, hajui kuwa huku ni team komandozz mbinu zake.za.kitoooto kabisaMpotezee tu
Sanasana katupaisha tu
Wala rusijibizane nae
....................
Safi kaka, nambie...Brother vipi.
anko nimekumisKabisa kabisa
Thread ya 5 hiyo inazungumzia Makapukuna anachokitafta ni makapuku kujibizana nae, hajui kuwa huku ni team komandozz mbinu zake.za.kitoooto kabisa
na anachokitafta ni makapuku kujibizana nae, hajui kuwa huku ni team komandozz mbinu zake.za.kitoooto kabisa

Hahahaa... Inatosha sasa.Thread nyepesi ile dawa ni kuignore/kuikaushia
Haifiki popote bila sisi kucomment
So tuipotezee ili ijifie kimyakimya
![]()
![]()
![]()
![]()
.......................
.nn kinaendelea hapaMbele ya mtumishi wa Bwana bishop jambilo, braza yangu youngblood, Mkuu wa kaya na th jina, niko tayari.
![]()
![]()
![]()
mamii mzima!Wazima wote?
Poa habari yako.Wazima wote?