Makapuku Forum

Makapuku Forum

Labda kama anatumia account mbili.
Sikujua kwamba jf kuna watu wanatafuta kick.
Ht km ana multiple ID lkn mwongo tu
Mimi nilianzisha neno KAPUKU kwenye thread zangu zen mtu WA kwanza kuniunga mkono akawa Th Name halafu akaja Jimena ....tukaanzisha USWAHIBA tukawa tunapeana sapoti zen nikawa na wazo la kuleta hii thread lkn Sissya007 akaniita chemba tukawa na kina Ibra87 ..EMMYGUY & Nahrene..
Baada ya hapo thread ikatoka kesho yake
Hilo ndo chimbuko la Makapuku Forum
Ni fahari ya Makapuku wote
...............................
TOP 10 makapuku tishio JF

Wajue Great Sinkers wa JF !!

Underground vs Wakongwe wa JF
................................
 
Si yameisha
Mbona unayakuza...Ndio ulikosea utani wetu umeishia huku tu au kwenye thread yenye "interest kuhusu Kapukuz"
Ww ni mwanaume potezea vitu vidogodogo km hivyo...wanaume hatususi
Mbona me nishakosea na kuomba msamaha mara 3 hapahapa na maisha yakaendelea? ina maana sikuwa na akili?
Yaliyopita yamepita sio kitu cha kuendelea kukijadili
Be OK
............
Pamoja sana le prezdaa wangu.
 
Ht km ana multiple ID lkn mwongo tu
Mimi nilianzisha neno KAPUKU kwenye thread zangu zen mtu WA kwanza kuniunga mkono akawa Th Name halafu akaja Jimena ....tukaanzisha USWAHIBA tukawa tunapeana sapoti zen nikawa na wazo la kuleta hii thread lkn Sissya007 akaniita chemba tukawa na kina Ibra87 ..EMMYGUY & Nahrene..
Baada ya hapo thread ikatoka kesho yake
Hilo ndo chimbuko la Makapuku Forum
Ni fahari ya Makapuku wote
...............................
TOP 10 makapuku tishio JF

Wajue Great Sinkers wa JF !!

Underground vs Wakongwe wa JF
................................
Kapuku forum ni zaidi ya tamthilia ya Isidingo.
 
Ht km ana multiple ID lkn mwongo tu
Mimi nilianzisha neno KAPUKU kwenye thread zangu zen mtu WA kwanza kuniunga mkono akawa Th Name halafu akaja Jimena ....tukaanzisha USWAHIBA tukawa tunapeana sapoti zen nikawa na wazo la kuleta hii thread lkn Sissya007 akaniita chemba tukawa na kina Ibra87 ..EMMYGUY & Nahrene..
Baada ya hapo thread ikatoka kesho yake
Hilo ndo chimbuko la Makapuku Forum
Ni fahari ya Makapuku wote
...............................
TOP 10 makapuku tishio JF

Wajue Great Sinkers wa JF !!

Underground vs Wakongwe wa JF
................................
Yule anatafuta umaarufu tu, sasa dawa yake ni kumpotezea, mi ndo kwanza nimemuona leo hata sijui katokea wapi?
Hapa ndo naona vile Makapuku ni homa ya dengue ama nene
 
....................................
JF members waliofanikisha walichotaka 2016.!
..........................................
Huyu jamaa mzushi eti kashiriki kuanzisha Makapuku Forum
Kick zinatafutwa kwa nguvu

........,......
Natamani mods wafanye yao kwenye ule uzii
Ntafurahi sana nikiona umeletwa hapa kusema kweli ili achoreke zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom