Ht km ana multiple ID lkn mwongo tu
Mimi nilianzisha neno KAPUKU kwenye thread zangu zen mtu WA kwanza kuniunga mkono akawa Th Name halafu akaja Jimena ....tukaanzisha USWAHIBA tukawa tunapeana sapoti zen nikawa na wazo la kuleta hii thread lkn Sissya007 akaniita chemba tukawa na kina Ibra87 ..EMMYGUY & Nahrene..
Baada ya hapo thread ikatoka kesho yake
Hilo ndo chimbuko la Makapuku Forum
Ni fahari ya Makapuku wote
...............................
TOP 10 makapuku tishio JF
Wajue Great Sinkers wa JF !!
Underground vs Wakongwe wa JF
................................