Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sikuwahi kufikiria kama ingeweza kuleta tension kubwa kiasi kile. Mpaka nimetamani kujiondoa Makapuku team niwe member wa kawaida tu, maana hata raisi wangu alitamka eti nimekosea. Sidhani kwa kila mtu ambaye huwa anacomment matani hapa jf huwa amesema kweli.

Mbaya zaidi nimekuta mdada amepost kwa kuniquote amenena kwa jazba kweli, niliishiwa pozi kaka.
Take it easy........ Next time usitoke nje ya mstari hata kama ni utani na kila kitu kitakuwa sawa
One love
 
Sikuwahi kufikiria kama ingeweza kuleta tension kubwa kiasi kile. Mpaka nimetamani kujiondoa Makapuku team niwe member wa kawaida tu, maana hata raisi wangu alitamka eti nimekosea. Sidhani kwa kila mtu ambaye huwa anacomment matani hapa jf huwa amesema kweli.

Mbaya zaidi nimekuta mdada amepost kwa kuniquote amenena kwa jazba kweli, niliishiwa pozi kaka.
Si yameisha
Mbona unayakuza...Ndio ulikosea utani wetu umeishia huku tu au kwenye thread yenye "interest kuhusu Kapukuz"
Ww ni mwanaume potezea vitu vidogodogo km hivyo...wanaume hatususi
Mbona me nishakosea na kuomba msamaha mara 3 hapahapa na maisha yakaendelea? ina maana sikuwa na akili?
Yaliyopita yamepita sio kitu cha kuendelea kukijadili
Be OK
............
 
80eac7394c3df1c532d6adc3b3334a18.jpg
 
Patience123 aliwahi kuniumiza utadhani ni jambo la kweli kumbe utani, pale aliponiambia hanitaki tena, cmjui na hanijui, but tulizoeana kiutani vile, aliniharibia siku kiasi aliponiambia ckutaki popote alipo alijue hili..
Sasa ni zamu ya Emmyguy naye kaumizwa aana na Aggyjay...japo najua leo itakuwa story ya kusameheana na kurudiana..huu ndio mwendelezo wetu wa kapu...for..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom