Makapuku Forum

Makapuku Forum

5750313422799a37f9f3280649f0c4e1.jpg

Pacha kaoa pacha wamezaa pacha.
Nimeipenda hiyo ya pacha kuzaa pacha.
 
Usijali brother hayo mambo ya kawaida....
Sikuwahi kufikiria kama ingeweza kuleta tension kubwa kiasi kile. Mpaka nimetamani kujiondoa Makapuku team niwe member wa kawaida tu, maana hata raisi wangu alitamka eti nimekosea. Sidhani kwa kila mtu ambaye huwa anacomment matani hapa jf huwa amesema kweli.

Mbaya zaidi nimekuta mdada amepost kwa kuniquote amenena kwa jazba kweli, niliishiwa pozi kaka.
 
Asante braza, sirudii tena. Siku yangu imekuwa mbaya sana kwa kweli, sikutegemea kama ntakutana na kitu kama hicho.
Patience123 aliwahi kuniumiza utadhani ni jambo la kweli kumbe utani, pale aliponiambia hanitaki tena, cmjui na hanijui, but tulizoeana kiutani vile, aliniharibia siku kiasi aliponiambia ckutaki popote alipo alijue hili..
Sasa ni zamu ya Emmyguy naye kaumizwa aana na Aggyjay...japo najua leo itakuwa story ya kusameheana na kurudiana..huu ndio mwendelezo wetu wa kapu...for..
 
Sikuwahi kufikiria kama ingeweza kuleta tension kubwa kiasi kile. Mpaka nimetamani kujiondoa Makapuku team niwe member wa kawaida tu, maana hata raisi wangu alitamka eti nimekosea. Sidhani kwa kila mtu ambaye huwa anacomment matani hapa jf huwa amesema kweli.

Mbaya zaidi nimekuta mdada amepost kwa kuniquote amenena kwa jazba kweli, niliishiwa pozi kaka.
Brother hata usiwe na wasiwasi kukoseana ni jambo la kawaida kwa binadamu...
Kikubwa ni kuombana msamaha na kusameheana tu.
Naamini aggyjay amekusamehe na mambo yameisha....
Pole sana brother tuko pamoja.
*________ONE LOVE____*
 
Brother hata usiwe na wasiwasi kukoseana ni jambo la kawaida kwa binadamu...
Kikubwa ni kuombana msamaha na kusameheana tu.
Naamini aggyjay amekusamehe na mambo yameisha....
Pole sana brother tuko pamoja.
*________ONE LOVE____*
Napenda unapojenga hoja ya kuimarisha umoja baada ya kuubomoa, hapa kuna majitu yenye vipaji vya kucheza tamthilia
 
Sikuwahi kufikiria kama ingeweza kuleta tension kubwa kiasi kile. Mpaka nimetamani kujiondoa Makapuku team niwe member wa kawaida tu, maana hata raisi wangu alitamka eti nimekosea. Sidhani kwa kila mtu ambaye huwa anacomment matani hapa jf huwa amesema kweli.

Mbaya zaidi nimekuta mdada amepost kwa kuniquote amenena kwa jazba kweli, niliishiwa pozi kaka.
Hahahahaha uwiiiii usitake ncheke kaka, hebu njoo pm kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom