Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Utanashati Huficha Ufukara


Niaje Kapuku mheshimika, naamini umekuwa na siku nzuri kabisa, ujue huu mwezi ni mwezi wa kipekee, well, upekee wake ni kwa sababu ni robo ya mwisho ya mwaka 2017. Mmmh, si mchezo yaani mwaka na mwisho wake ndo tunautafuta. Utakubaliana nami kuwa mengi yametokea, mazuri na yenye kufisha moyo ila yote kwa yote, kwa wewe kuwepo hapa basi wengi tunafuraha sana.

Kuna tofauti kubwa sana, ndiyo, kubwa tu na wengi hudhani kuwa mtanashati basi ni lazima uwe na mavumba ya kununua pamba na unyunyu, la. Si kweli ni kujipanga tu, jeans zako mbili, moja nyeusi nyingine ya khaki na mashati matano, Tshirts tatu na makobazi, unafua kila wiki. Unabadilisha shati tu, ujue watu huwa hawaangalii umevaa suruali gani bali shati pekee yake. Ukibadili shati kila siku utaonekana una viwalo vya kufa mtu.

Muziki sasa, kuwa Kapuku haimaanishi wewe ni fukara, ufukara ni umaskini uliopitiliza, unakuwa huna 'access to information', huna hela na huwezi kufanya maamuzi yoyte ya maana. Kuwa kapuku ni suala la muda tu maana unakuwa na akili timamu, mwenye access ya yote mazuri hata kama unaishia kuyaona tu na si kuyamiliki. Ujue nimekupa mbinu za kuwa mtanashati japokuwa kuwa Kapuku hakumaanishi usiwe mtanashati.

 
Muziki: Utanashati Huficha Ufukara


Niaje Kapuku mheshimika, naamini umekuwa na siku nzuri kabisa, ujue huu mwezi ni mwezi wa kipekee, well, upekee wake ni kwa sababu ni robo ya mwisho ya mwaka 2017. Mmmh, si mchezo yaani mwaka na mwisho wake ndo tunautafuta. Utakubaliana nami kuwa mengi yametokea, mazuri na yenye kufisha moyo ila yote kwa yote, kwa wewe kuwepo hapa basi wengi tunafuraha sana.

Kuna tofauti kubwa sana, ndiyo, kubwa tu na wengi hudhani kuwa mtanashati basi ni lazima uwe na mavumba ya kununua pamba na unyunyu, la. Si kweli ni kujipanga tu, jeans zako mbili, moja nyeusi nyingine ya khaki na mashati matano, Tshirts tatu na makobazi, unafua kila wiki. Unabadilisha shati tu, ujue watu huwa hawaangalii umevaa suruali gani bali shati pekee yake. Ukibadili shati kila siku utaonekana una viwalo vya kufa mtu.

Muziki sasa, kuwa Kapuku haimaanishi wewe ni fukara, ufukara ni umaskini uliopitiliza, unakuwa huna 'access to information', huna hela na huwezi kufanya maamuzi yoyte ya maana. Kuwa kapuku ni suala la muda tu maana unakuwa na akili timamu, mwenye access ya yote mazuri hata kama unaishia kuyaona tu na si kuyamiliki. Ujue nimekupa mbinu za kuwa mtanashati japokuwa kuwa Kapuku hakumaanishi usiwe mtanashati.

Binamu santeeeee
 
Muziki: Utanashati Huficha Ufukara


Niaje Kapuku mheshimika, naamini umekuwa na siku nzuri kabisa, ujue huu mwezi ni mwezi wa kipekee, well, upekee wake ni kwa sababu ni robo ya mwisho ya mwaka 2017. Mmmh, si mchezo yaani mwaka na mwisho wake ndo tunautafuta. Utakubaliana nami kuwa mengi yametokea, mazuri na yenye kufisha moyo ila yote kwa yote, kwa wewe kuwepo hapa basi wengi tunafuraha sana.

Kuna tofauti kubwa sana, ndiyo, kubwa tu na wengi hudhani kuwa mtanashati basi ni lazima uwe na mavumba ya kununua pamba na unyunyu, la. Si kweli ni kujipanga tu, jeans zako mbili, moja nyeusi nyingine ya khaki na mashati matano, Tshirts tatu na makobazi, unafua kila wiki. Unabadilisha shati tu, ujue watu huwa hawaangalii umevaa suruali gani bali shati pekee yake. Ukibadili shati kila siku utaonekana una viwalo vya kufa mtu.

Muziki sasa, kuwa Kapuku haimaanishi wewe ni fukara, ufukara ni umaskini uliopitiliza, unakuwa huna 'access to information', huna hela na huwezi kufanya maamuzi yoyte ya maana. Kuwa kapuku ni suala la muda tu maana unakuwa na akili timamu, mwenye access ya yote mazuri hata kama unaishia kuyaona tu na si kuyamiliki. Ujue nimekupa mbinu za kuwa mtanashati japokuwa kuwa Kapuku hakumaanishi usiwe mtanashati.


 
giphy.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom