Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nakosa emojiii zangu tuAtakwambia umeeditebu achana nae shemela shululu
Veeep tenaNyagei
Umechelewaa nimekutana na rafik yakoTell me
Nyagei
Hata mi cjui umuulize Sergio 5Shujaaa ndio nini mpendwa wa binamu
NiajeNyagei
Wapo wengi ni yupi huyo?Umechelewaa nimekutana na rafik yako
Aangalie time jibu tosha ...hope ata kama nilichelewaa kuingia kf ila tulikuwa tushamalizana maongeziAtakwambia umeeditebu achana nae shemela shululu
Sorry wife kama nimekosea kutoa siri
Mkuu ni kweli mm na cheupe wangu tumekutana jf ila mpaka sasa nina familia nae ...japo maisha yetu ya kf hatuwez kuyaacha make ndo yalitukutanisha ....kila mtu anakuja kwenye maisha ya mtu kwa sababu ...shunie ni familia moja na mm ...mengi yanakuja na mtayajua
Inshort hatupendi kuwa mbali na maisha tuliyozoea hapa kapuku...
Utani ni sehemu ya maisha yetu...
Soon naingia home![]()
Ukimaliza kusoma naifuta
Fresh tu mkuuNiaje
Hapana kaka uvivu wa kuandikaMkuu
Siku hizi unakula vya chuga nini ?![]()
Hahahaa...Fresh tu mkuu
Kwema huko
Hapana kaka uvivu wa kuandika
Nyagei
Nakuona shemela wangu kabisa kwenye ubora wako ule ule