Makapuku Forum

Makapuku Forum

Duuh Usikose kutuita kuja kula pilauu..
Sorry wife kama nimekosea kutoa siri


Mkuu ni kweli mm na cheupe wangu tumekutana jf ila mpaka sasa nina familia nae ...japo maisha yetu ya kf hatuwez kuyaacha make ndo yalitukutanisha ....kila mtu anakuja kwenye maisha ya mtu kwa sababu ...shunie ni familia moja na mm ...mengi yanakuja na mtayajua

Inshort hatupendi kuwa mbali na maisha tuliyozoea hapa kapuku...

Utani ni sehemu ya maisha yetu...

Soon naingia home
5ced78c223d02ade21955ea679aa2e03.jpg


Ukimaliza kusoma naifuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom