Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sorry wife kama nimekosea kutoa siri


Mkuu ni kweli mm na cheupe wangu tumekutana jf ila mpaka sasa nina familia nae ...japo maisha yetu ya kf hatuwez kuyaacha make ndo yalitukutanisha ....kila mtu anakuja kwenye maisha ya mtu kwa sababu ...shunie ni familia moja na mm ...mengi yanakuja na mtayajua

Inshort hatupendi kuwa mbali na maisha tuliyozoea hapa kapuku...

Utani ni sehemu ya maisha yetu...

Soon naingia home
5ced78c223d02ade21955ea679aa2e03.jpg


Ukimaliza kusoma naifuta
Atakwambia umeedit ebu achana nae shemela shululu
 
Msalimie sana...

Aisee, hivi lushoto unaenda lini

Nahisi hata ukawa hela huko pm shunie hawezi kuja...


Aisee, unakosa mengi huko pm


Asante shem kwa kunielewa

Basiìiiiii....

Nimeelewa shem.

Hiyo ni sababu kuu kwa nini haumwamini mpaka kufikia hivyo? Kama mmefikia hapo mlipo kwa nini haumwamini

Kesi ni kivuli?

Kivuliiii


Nyagei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom