Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mtaasisi mambo veepee bhana naona Arsenal alipochezea nne ukapotea kabisa. Anyway aliyewafunga alilipwa tano pia
BTW, kwa kuwa ulikuwa haupo naamini huna taarifa nimenunua Samsung Galaxy emoji zimejaa😀
Safi sana mkuu kwa hatua uliyopiga ya kumiliki Galaxy


Naona unataka kujenga picha ya mimi kuwa na mlengo mmoja na bibie Clkey na mwenzake shululu


Mimi ni MUFC die hard

Nyagei
 
Safi sana mkuu kwa hatua uliyopiga ya kumiliki Galaxy


Naona unataka kujenga picha ya mimi kuwa na mlengo mmoja na bibie Clkey na mwenzake shululu


Mimi ni MUFC die hard

Nyagei


Asante sana kwa pongezi zako.

Oh, kumbe wewe ni Man U ha ahahhahahaha, sawa sawa

Kina shululu na Clkey tunawasubiri tufanye uchaguzi , tuangalie kipi, maana mechi za Futuhi zinavichekesho sana
 
Mtaasisi mambo veepee bhana naona Arsenal alipochezea nne ukapotea kabisa. Anyway aliyewafunga alilipwa tano pia
BTW, kwa kuwa ulikuwa haupo naamini huna taarifa nimenunua Samsung Galaxy emoji zimejaa😀
I Never believed when my pastor told me: "the more you give, the more you get" till I watched Man City give Liverpool 5

Note: Liverpool gave 4 to Arsenal
 
fa78cbd91c2bb901fee911bbaa89f382.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom