Makapuku Forum

Makapuku Forum

Best aggyjay sikujua kama utachukulia serious kiasi kile, labda niseme ni matani tu kuzidi. Hata nilivyopost kule kwangu niliichukulia kama only joking, nsamehe kama ntakuwa nimekukwaza.

Mpaka nimeogopa nilikuta umetuma hapa ujumbe wako, nimepata aibu kwa kuhisi kama nimedharirika kwa kuonekana nimekumention kwa ile post. Hata tangu nimejiunga hapa jf sijawahi kumfata PM mwanamke yeyote, maana mie ni mtu ninayejitambua na niko na familia yangu hivyo siwezi hata siku moja kuidhalilisha familia yangu.

Nisamehe bure mamaa aggyjay, na wala sijadhamiria. Mimi siko hivyo kama ulivyodhani, na wewe ni mtu wa kwanza kumkwaza hapa jf tangu nimejiunga sijawahi kuona mtu kanitusi wala kunisemea vibaya.

Pole kwa yaliyokukuta huko nyuma, amini kwamba hiyo ni mitihani ya kidunia. Muombe Mungu atakusaidia.
 
..........................................
20 most Influential JF members 2016
...........................................
Angalieni KITUKO ...bila hata aibu mtu anasema Top 20 member wakali halafu hakuna ht kapuku si ni kichekesho?
Huwezi taja japo TOP 5 bila kapukuz......waache wajifariji kwa kujitajataja

..........................
Source ni brain yake lol.... Wonders shall never end
 
Source ni brain yake lol.... Wonders shall never end
Wakongwe hawaishiwi vituko
Wanatajana kwa mabavu
fb201063edac1b42af06684670b1dcb7.jpg

...................
 
Best aggyjay sikujua kama utachukulia serious kiasi kile, labda niseme ni matani tu kuzidi. Hata nilivyopost kule kwangu niliichukulia kama only joking, nsamehe kama ntakuwa nimekukwaza.

Mpaka nimeogopa nilikuta umetuma hapa ujumbe wako, nimepata aibu kwa kuhisi kama nimedharirika kwa kuonekana nimekumention kwa ile post. Hata tangu nimejiunga hapa jf sijawahi kumfata PM mwanamke yeyote, maana mie ni mtu ninayejitambua na niko na familia yangu hivyo siwezi hata siku moja kuidhalilisha familia yangu.

Nisamehe bure mamaa aggyjay, na wala sijadhamiria. Mimi siko hivyo kama ulivyodhani, na wewe ni mtu wa kwanza kumkwaza hapa jf tangu nimejiunga sijawahi kuona mtu kanitusi wala kunisemea vibaya.

Pole kwa yaliyokukuta huko nyuma, amini kwamba hiyo ni mitihani ya kidunia. Muombe Mungu atakusaidia.
Peace and love
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom