Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Dada wapi hujanielewaKwahiyo kaka me ndio tumosa au ujue sijakuelewa unataka kunivunjia ndoa au
Dada wapi hujanielewaKwahiyo kaka me ndio tumosa au ujue sijakuelewa unataka kunivunjia ndoa au
Najua uliniambia shemelandio kwetu
Muulize mumewe jamaan kaka msinivunjie ndoa mie ni mke wa Lee ni mke wa Baba DDada wapi hujanielewa
EwaaaaaaaNajua uliniambia shemela
Sawa dadaMuulize mumewe jamaan kaka msinivunjie ndoa mie ni mke wa Lee ni mke wa Baba D
Asante kwa kunielewa kaka ukisababisha niachike nakufata huko ulipoSawa dada
Mana haiwezekani unajua me mke wa Lee unaniletea mambo za shululu ndio mume wangu hivi kaka nia yako ilikua nini jamanDada utaweza kazi za shamba?
Nisamehe bureMana haiwezekani unajua me mke wa Lee unaniletea mambo za shululu ndio mume wangu hivi kaka nia yako ilikua nini jaman
Asantee mkuuAsubuhi njema makapuku wote
NiajeeeAsante kwa magazeti shemeji
Mzima shemeji
Ameni mama anguuuKweli jeuri humpumbaza mwenye hekima na rushwa huuharibu ufahamu
Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi
Usifanye haraka kukasirika mana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu![]()
MITHALI 7:7-9
MUWE NA JUMAPILI NJEMA JAMANI MBARIKIWE SANA![]()
![]()

Safi mkuu za huko ulikoNiajeee
Kwahiyo kaka me ndio tumosa au ujue sijakuelewa unataka kunivunjia ndoa au

Mana haiwezekani unajua me mke wa Lee unaniletea mambo za shululu ndio mume wangu hivi kaka nia yako ilikua nini jaman

Kiherehere na kiroho papoNimeiweka kwa KF wote, maana ile ya Obe iligoma kufunguka kwako shemela, nikaona nikupoze machungu
Embu nitolee jau huko, mi nakupa habari njema wewe badala unipongeze unanipa pole.
Kwenda huko

Hahaha, bado sijaoa bhnaAiseee kwahiyo una mke mtumishi au