Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Baba D shangaa na wewe jamaan najionea mambo mambo tu hapa
Baba D shangaa na wewe jamaan najionea mambo mambo tu hapa
Nimeshakusamehe kaka uwe na AmaniNisamehe bure
...lol! Nilikuwa sijamsalimia mjomba wangu, maana tangu wiki hii yote hatujaonana nikaona nitumie kukuquote ili salamu zangu zifike haraka
Ha hahahahahaha, wikiend nzuri sana hii

Kuna nini make nimeskipBaba D shangaa na wewe jamaan najionea mambo mambo tu hapa
Nina taarifa zako ....Hahaha, bado sijaoa bhna
Wewe husna the bossy lady
Ameshaomba msamaha baba d alikua ananiita me mke wa shemela shululuKuna nini make nimeskip
Muombe Mungu akupe mke wa kufanana na weweHahaha, bado sijaoa bhna
HaaaaahaaaaAsante kwa kunielewa kaka ukisababisha niachike nakufata huko ulipo
Yameisha shemela wangu, yeye kachanganya tuMana haiwezekani unajua me mke wa Lee unaniletea mambo za shululu ndio mume wangu hivi kaka nia yako ilikua nini jaman
Pamoja sana mkuuAsantee mkuu
Utakuwa mkulima bila shakaKuanzia mwezi wa tano hadi wa saba
Ndio mi mkulimaUtakuwa mkulima bila shaka
Leo tu baasi sifukui teeenaMamaa wa viporoooo kwenye ubora wako wa kufukua

Mbona Sijaagiza mtu yeyote akuletee taarifa yoyote?? Zitakua zimepikwa hizo!!Nina taarifa zako ....
Sasa si atakuwa ndugu yangu huyo ninaye fanana nayeMuombe Mungu akupe mke wa kufanana na wewe
GoodMkuu tunapaswa kupambana tukiwa vijana ili umri ukisonga tuwe tumeandaa hazina ya uzeeni