Makapuku Forum

Makapuku Forum

*WAHENGA WAMEPATA SABABU ZA KULALA NJE*

To my wife

*Samahani sana kila nikitoa mguu hapo nje ya ofisi nakuta Nissan nyeupe imepaki. Hvyo leo nalala ofisini*.

Mimi mumeo

Mke: Nakuelewa mume wangu hata hapa ofisini kwetu kwa nje naona nissan nyeupe, nimebaki na boss tu sisi pia tunaogopa kutoka nadhani tutalala ofisini pia.
Mume: nakupitia sasa hivi mke wangu lazima tuwe majasiri tukiwaendekeza hawa watu wasiojulikana hawataicha ndoa salama.


kama namuona binamu obeeeeee
Hahahahaa, nayeye anaogopa vitu visivyo julikana kwani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom