Makapuku Forum

Makapuku Forum

Katoto furani hivi kanaimba, mimi nimeiona
....nafikiri anatatizo la MB, tuendelee kumuombea
Binamu nitake radhiiiiiii hivi ningekua na hilo tatizo ungeniona hapa
10663e7f21131bfacab6bde416eef788.jpg
 
*WAHENGA WAMEPATA SABABU ZA KULALA NJE*

To my wife

*Samahani sana kila nikitoa mguu hapo nje ya ofisi nakuta Nissan nyeupe imepaki. Hvyo leo nalala ofisini*.

Mimi mumeo

Mke: Nakuelewa mume wangu hata hapa ofisini kwetu kwa nje naona nissan nyeupe, nimebaki na boss tu sisi pia tunaogopa kutoka nadhani tutalala ofisini pia.
Mume: nakupitia sasa hivi mke wangu lazima tuwe majasiri tukiwaendekeza hawa watu wasiojulikana hawataicha ndoa salama.


kama namuona binamu obeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom