Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
...hili analodaiwa sio la vinywaji, ni la wanasema short-time. ataeleza mwenyewe maana mimi baada ya vinywaji niliwaacha wakipanga yao

...hili analodaiwa sio la vinywaji, ni la wanasema short-time. ataeleza mwenyewe maana mimi baada ya vinywaji niliwaacha wakipanga yao

Sasa short time apige yeye deni ulipe wewe hv inakuja kweli??!!...hili analodaiwa sio la vinywaji, ni la wanasema short-time. ataeleza mwenyewe maana mimi baada ya vinywaji niliwaacha wakipanga yao
Duuh, so miezi karibia kumi yote unapiga kazi tuuuKuanzia mwezi wa tano hadi wa saba
Ndio maana wanasemaga ukiwa muongo uwe na kumbukumbuMara mtoto anakuja, tueleweje shemela

Na mimi nataka kuwa baba mtumishi, ndio maana natakiwa kujiandaa vizuriLeo kweli jumapili tetra una upako sio wa nchi hiihallelujah
![]()
![]()
Hizi sio zama zilena mtoto anakuja kweli ujue kumbuka ya Sara na ibrahim
Kama unaogopa kuumbuka, kama huogopi hakuna hajaNdio maana wanasemaga ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
![]()
![]()
![]()
...mimi ni mwanaTANU na moja ya ahadi zetu, ahadi ya kwanza kabisa ni 'Nitasema Kweli daima, fitna kwangu sio mwiko'

....ha ahhahaha, miaka ile walikuwa wanaishi miaka mingi kama idadi ya shanga za anko wangu 700, saaa hizi tunaishi miaka 70 tu na pweza sijui unga wa kongo mara paaap kitu kinapotea kabisa kinabakia kizizi tu
Hizi sio zama zile
Mamaa wa viporoooo kwenye ubora wako wa kufukuaNdio maana wanasemaga ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
![]()
![]()
![]()
Aiseee kwahiyo una mke mtumishi auNa mimi nataka kuwa baba mtumishi, ndio maana natakiwa kujiandaa vizuri
Tumosa yuko wap![]()
![]()
![]()
nimekua lini tumosa
![]()
Ni kweli kabisa shemelaumeamua kutuua na mabus yetuuuu
Mkuu tunapaswa kupambana tukiwa vijana ili umri ukisonga tuwe tumeandaa hazina ya uzeeniDuuh, so miezi karibia kumi yote unapiga kazi tuuu
Kwahiyo kaka me ndio tumosa au ujue sijakuelewa unataka kunivunjia ndoa auTumosa yuko wap
Kweli aiseeNdio maana wanasemaga ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
![]()
![]()
![]()
Kwahiyo kaka me ndio tumosa au ujue sijakuelewa unataka kunivunjia ndoa au
