Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Kunywa anywe yeye na mchepuko wake kulipa ndio amsumbue mpendwa wangu
Kunywa anywe yeye na mchepuko wake kulipa ndio amsumbue mpendwa wangu
PoaAisee mambo vp
Kunywa anywe yeye na mchepuko wake kulipa ndio amsumbue mpendwa wangu









Hayo aliyoyaandika ndio yamenichekeshaAsante na niniii video hewa au
Fresh tu mdada, ishu niajePoa za wewe
Muziki: Wikend Mara Paaaap
Niaje Kapuku mheshimika, nakusalimu na kukuambia tu uwepo wako hapa unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu bora kabisa kuwepo, usingekuwepo nisingekuwepo. Unaona bhana. Usidhani nimechelewa makusudically leo, la hasha, Jumamosi ya soka hii, nimeondoka home tangu mchana, asubuhi nilienda mazoezi kusaka hamu ya supu na bia. mchana ratiba za soka zikaanza.
Nipo home sasa nawaangalia Man U, sina mchecheto maana vijana wa Darajani pale London washafanya yao, no pressure ila gas ipo kwa Liverfive ha ahahaha, wamechezea mkono, yaani gwala a fist opening with love like roses ha ha ahaha.
Muziki sasa, nakaa nashika samsung Galaxy yangu mpya yenye cover (well, screen protector sijaweka-hivi ni muhimu eeeh?) kustream game online maana sikutaka kucheza game la Mountain Climb mara paaap, man u kachezea kimoko, na kabla Darly kimoko hajapiga gitaa si nikaona Marcus anasawazisha na dude la kikongo Rukaku likasakata mayenu nikaona iswe tabu ngoja nitupie muziki tufurahi pamoja.
Mapumziko mema kapuku mwenzangu. With Love from Obe

Kunywa anywe yeye na mchepuko wake kulipa ndio amsumbue mpendwa wangu
...umri mzuri kabisa huu, hamna cha kusema 'baby sioni siku zangu, oh sijaona mwezi' yaani burudani kwenda mbele jua liwake, siku ikuche na mwezi uonekane

Ni poa tu karibuFresh tu mdada, ishu niaje
Asante na niniii video hewa au
Hivi nyie ni video gani mmeangalia jamanAsante dj Obe kwa music![]()
Mara mtoto anakuja, tueleweje shemelaEwaaaaaa binamu kitu cha menopausewala baba d wangu hapati sheeda nampa tuuu
Ndio wangu huyo binamu ujue nakuona na ukivuruge wako nakuona ujue...hili analodaiwa sio la vinywaji, ni la wanasema short-time. ataeleza mwenyewe maana mimi baada ya vinywaji niliwaacha wakipanga yao
Hayo aliyoyaandika ndio yamenichekesha
Wateva niniiii video haipooooo hao wanaokupa asante wamekaririii binamu...kweli video haichezi? Mbona nimetumia utaratibu wa siku zote au Galaxy mpya bado haijauzoea? Au simu yako watevaaaa sijui nini Itel?
Mara mtoto anakuja, tueleweje shemela





na mtoto anakuja kweli ujue kumbuka ya Sara na ibrahimIpo shemelaWateva niniiii video haipooooo hao wanaokupa asante wamekaririii binamu
Ndio wangu huyo binamu ujue nakuona na ukivuruge wako nakuona ujue
Katoto furani hivi kanaimba, mimi nimeionaHivi nyie ni video gani mmeangalia jaman