Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Kwemaa ni heriii?
Kwemaa ni heriii?
My love

Alienda kuhesabu shanga 1500Shemela alikuteka nani jaman
Acha urongo banaaNilikuwa lushoto shemela, network ilikuwa shida sana
Nani huyo?!Siku TZ wakifungua clinics za plastic surgery huyu kama ni mdau atakuwwa wakwanza kwenda kutengenezwa ili muonekano wake uendane na sauti yake.
Kwema mkuu Lee
Ukweli ndio urongoAcha urongo banaa
Ujue we babe wa muhimu sana kwangu lazima nijal



Kwahiyo upo in love na hiyo emoji au sijaelewa mimiKama watu wengine wasemavyo kuwa mapenzi ni upofu, basi mie sioni chochote isipokuwa hio tuu
AiseeeZuriiiiii
Ujue mpendwa wa binamu umeongea la muhimu sanaAlienda kuhesabu shanga 1500

Mwambie na wewe Lee, shemela
Anasema aliaga eti au aliwaaga pm huko jamanAcha urongo banaa
Kuhesabu shanga 1500 veeep shemela
Mungu azidi kukupigania jamaan
Soma toka mwanzo shemela halaf ujue mapenzi yetu sio sababu flani kafanya hivi au vile me na Lee tunaishi pamoja ujue tunalala kitanda kimoja shemela ujue ulinimiss kusikia naongea endelea tu kunichokoza na uchochezi wakoMwambie na wewe Lee, shemela