shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ujumbe umefika, na kwa heshima yako kasema atarudi jf soonWapi??
Ujumbe umefika, na kwa heshima yako kasema atarudi jf soonWapi??
Tanzania teamIpiii
Ahahah na kweli ujueUkiwa mzalendo tanzania unaweza kufa kwa kihoro
Tetra bado una hayo tu ya makopaIla shunie una visa,si ungeweka koppa moja kubwa tu lingetosha kuelezea ujumbe wwako
Mkuu vipnaona mnawatoa povu watu huko salama wakuu
ImefanyajeeeTanzania team
Sema mamasitakiiii
Yanga auHivi team wazalendo humu kapuku hakunaga eenh mana naona team yenu imefunga
Ila shunie una visa,si ungeweka koppa moja kubwa tu lingetosha kuelezea ujumbe wwako

Mimi aba baba jj mke mwee yuko ap jamanMama D
Ebu niulizie shemela hata me mkewe hataki shikamoo yangu
Yupo mapumziko ya muda, atarudi tuMimi aba baba jj mke mwee yuko ap jaman
Jitoe ufahamuEbu niulizie shemela hata me mkewe hataki shikamoo yangu
Hahaha, nashukuru sana. mwambie I can't wait to feel her presenceUjumbe umefika, na kwa heshima yako kasema atarudi jf soon
Ahahaha na mapenzi yenu ya bongo movie usikute hata hujawahi kuwasiliana nae mtu yupo kyela huko na wewe shemela upo kinyerezi.Yupo mapumziko ya muda, atarudi tu

Ahahhaha kama nakuonaJitoe ufahamu
Ukiwanalo huwezi ona muhimu wakeTetra bado una hayo tu ya makopa