Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa wahenga hawakukosea na misemo yao ujueUkiwanalo huwezi ona muhimu wake
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa wahenga hawakukosea na misemo yao ujueUkiwanalo huwezi ona muhimu wake
Ahahaha na mapenzi yenu ya bongo movie usikute hata hujawahi kuwasiliana nae mtu yupo kyela huko na wewe shemela upo kinyerezi.![]()
si watumianee negative
Najua mimi sasa ulipo najinoea mashkolo mageni tu baba dNiko wapiiii![]()
![]()
![]()
Lako likipotea unipemrejesho (siombi hivyo TBH)
Huyu shemela anaonekana hata pm kwa mke mwee hapajui kabisa yaan mambo ni hapa hapa jukwani we shemela acha hizo ujue ebu zama pm kwa mke mwee acha mapenzi ya bongo movie ufunge safari siku umuendee kyela huko![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
si watumianee negative
Mfyuuu dua la kuku aisee kumbe unaniombea hivyoLako likipotea unipemrejesho (siombi hivyo TBH)
Bongo movie ni nyie, nilitaka nikutumie picha ili uaminiAhahaha na mapenzi yenu ya bongo movie usikute hata hujawahi kuwasiliana nae mtu yupo kyela huko na wewe shemela upo kinyerezi.![]()
Hihihi Sasa nanona unanijungua laivulaivuMwenye shibe hamjui mwenye njaa wahenga hawakukosea na misemo yao ujue
Shemela nilikwambia tuma kwa pm ya baba d nitaipata tu halaf sisi hatuact hivi kwa nini shemela huamini jamanBongo movie ni nyie, nilitaka nikutumie picha ili uamini
Kalili hivyo hivyo shemelaHuyu shemela anaonekana hata pm kwa mke mwee hapajui kabisa yaan mambo ni hapa hapa jukwani we shemela acha hizo ujue ebu zama pm kwa mke mwee acha mapenzi ya bongo movie ufunge safari siku umuendee kyela huko
Hihihi Sasa nanona unanijungua laivulaivu




si ndio unavyotaka tetra we mwenyewe mtu wa majungu sana
Hahaaaaaaaa.... maombi ya mwenye haki hujibiwa kwa wakatiMfyuuu dua la kuku aisee kumbe unaniombea hivyo
Bongo movie ya ReyShemela nilikwambia tuma kwa pm ya baba d nitaipata tu halaf sisi hatuact hivi kwa nini shemela huamini jaman

Kwendraaa na haitotokea aisee na usikute wengi mnaombea hivyo sasa mtafanya sherehe au Lee na shunie wakiachanaHahaaaaaaaa.... maombi ya mwenye haki hujibiwa kwa wakati
Ili tuvumbue nini sisi kuact aisee Mungu asinifikishe huko kwenye bongo movie ya mapenziBongo movie ya Rey![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yakwangu yaukweli, sio kha yakosi ndio unavyotaka tetra we mwenyewe mtu wa majungu sana
Ahahhahah kwahiyo yangu ya uongo ungekuwa unalia lia apa kuhusu makopa mawiliYakwangu yaukweli, sio kha yako