Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Kwani kabla hapo alikuwa anaishi vipi?
Chura anajump anajump
Chura huyooo chura huyoo
Kwani kabla hapo alikuwa anaishi vipi?
Kazi ya kukutafutia wanawake??Sio kuwadi kivile but nikimpa kazi nina imani naye
cc jimena
Aminia kaka ake
Nahis amenunua smartphone hiv karibuni. Ndo maana anakosea kila akiandikachoHuyu ibrahm msuya ni gugu maji la ukweli
Alikuwa anaishi kwa kucheki bunge live naKwani kabla hapo alikuwa anaishi vipi?
Chura anajump anajump
Chura huyooo chura huyoo

Maneno ya mkosaji tu...kila ukiniona moyo unakupasuka...acha nijilie raha mie...Wapi wewe, usawa huu mbona utajileta mwenyewe, niko na dadake mie wa ukweli ambaye aweza kuniletea kitu kimeenda shule ukifika wakati wa kuhitaji..sasa natulizana tu
Mimi nangoja ageuke kwanza maana huyo chura nyumaNdani ya joto cityHuyu ana zawadi zenu muwasiliane naye pm![]()

Mzee wa msata sema
Shangaa na wewe,huyu mtumishi ni janga la kanisa.Kumbe unae mpaka dada kuwadi??
Mbona chura wapo kibao tu mtaani awatafute awaweke kwenye chupa haahahaAlikuwa anaishi kwa kucheki bunge live na![]()
Hakuna cha kula raha bali unaliwa raha, hakuna cha kula maisha bali maisha yanakukula.Maneno ya mkosaji tu...kila ukiniona moyo unakupasuka...acha nijilie raha mie...
X-baby upo?Mzee wa msata sema
Ndo mapenzi haya kaka
Kaka tulizana mbona lizzie yuko vizuri kupita hili jini la mshana jr?Mimi nangoja ageuke kwanza maana huyo chura nyuma![]()
Ye anatafuta watu lawama tuMbona chura wapo kibao tu mtaani awatafute awaweke kwenye chupa haahaha
Teh teh teh...naona unamalizia hasira za upweke hapa...,BTW hujambo mpenzi?Hakuna cha kula raha bali unaliwa raha, hakuna cha kula maisha bali maisha yanakukula.
Ukiona umuhimu wangu utarudi na usipoona kuna yupo atakayeona umuhim wangu, citasema mengi cha MSINGI NATULIZANA..WEWE LIWA NA DUNIA KWANZA
mbon nipo aiseeHuyu dogo ibrahim msuya yupo humu wakuu!