Makapuku Forum

Makapuku Forum

a208ba1012a3f588e48b770c425fd990.jpg
 
MAHAKAMA YAFUTA MATOKEO YA UCHAGUZI KENYA.
Jaji Mkuu David Maraga ameagiza: Uchaguzi wa urais uliofanyika 8 Agosti, 2017, haukuandaliwa kwa mujibu wa katiba na sheria, hivyo matokeo yake ni batili.

"Natangaza hapa kwamba Bw Kenyatta hakuchaguliwa na kutangazwa kwa njia inayofaa.

"Agizo linatolewa, kuagiza Tume ya Uchaguzi kuandaa na kufanikisha uchaguzi mwingine kwa kufuata katiba na sheria katika kipindi cha siku 60."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom