Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Save pichaaUcnambie ndo mapacha wako hao
Save pichaaUcnambie ndo mapacha wako hao
Nimevumilia kivuli Shunie... Huku naona hongera kule naona shanga.... Khaaa jamanii mie nina moyoo wa nyama etiii










nimecheka sana dada T ebu jitahidi kwenda studio kusafisha kivuli usitufanyie hivyo hizi zote ni hasira za kivuliWoooiiiMfyuuuuuu sizitaki mbichi hizi
Nakusalimia mm hapaNimevumilia kivuli Shunie... Huku naona hongera kule naona shanga.... Khaaa jamanii mie nina moyoo wa nyama etiii
Yanashangaza baba dShangaaaa
Mmmh hapana jaman baba dNaomba kujuaa ...kivuliii ni jina la mtu au
Hunny swtiieee bongee mbonyeooNiliona T jaman na ulitetea sana hili swala me naona ni hasira za kivuli tu ebu safisha mtumie
WooooooozaaaaaaMweeeenyeweeeeeeh in ringos voice
Kujal lazima aiseeUsijali Shunie
Hujanijibuuu au swaliii mswalinooo ??Najua anko umenilinda sana kwa kuhakikisha husna muba wangu japo kutongozwa sunna basi hachepuki
Jichekeee mama ....
Wala sio hasira.... Nawaza tuunimecheka sana dada T ebu jitahidi kwenda studio kusafisha kivuli usitufanyie hivyo hizi zote ni hasira za kivuli
Baba D jaman si binamu umemuona hapo alichoongeleaIpiii hiyoooo...
MarahabaNakusalimia mm hapa
ChibongeNimepitiwaa nipo nimejikunjaa na cheupee wanguuu ....
Watuuu ganiii jamaniiiiItabdi tu nikuvalie kilazima kumbe huko watu wanakuvalia
Kuwa na Amani mdogo wanguKujal lazima aisee
Haaaaahaaaa...huna haja ya kuoga, wanaume wengi tunapendaga sana kale kaharufu ka kikwapa na papa orijino na sio nguru