Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Ni kiasi gani shemela ilivyokugusaHaaaaahaaaa
Ni kiasi gani shemela ilivyokugusaHaaaaahaaaa
Kwani sistahili auKwan wewe mkuu ??
Kawimbooo kamekoleaaa kichwaniiiWooooooozaaaaaa
Aiseee nilishahama huko nipo mbeziHaya shemela, habari za sinza lakini
Utaenda na mafunzo au huendiItabdi tu nikuvalie kilazima kumbe huko watu wanakuvalia

Ivo ivoMara paaap sura kama wassira
KumbeeeeNilijuaaa ...kwanza kaja mjiniii ananikwepaaa pesa zikiishaa anasingiziaa kuja kunitembeleaa
Nalalaje jaman bila we kurudiFoleniiii njia imezibwaaa plz usilalee sanaa
Majina TafadhaliUmewaona eeehh
Umeelewaaaa
Kasema kakosea etiAkikujibu nishitue
Baba D we ni mchochezi ujueNtajuaa na mm
AiseeWoooiii
Mie kuna siku nazira mazimaaaa.... Na id nabadili
Woiiiiii neno kuntu dada na kivuli sasa kuna dalili ya kusafishwa kweliiSiweziiii lilia mtu ambae hajali hisia zangu... Ilikuwa ni ujinga tuu ile....
Wa afya telee hope na mashaka juu yako na ben ten wakooMarahaba
Hujambo wewe
Haaaaahaaaa leo kuna raha humupunguza machejo, mama mwenye nyumba ana masuala ya muhimu, utajikuta unalala sebuleni kama baiskeli ya mgeni
![]()
Naveen wanguuu Jamaaaniii... Niite mama NNakupenda Mimi mama ake najma na naveen