Ibrahim Msuya
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 572
- 1,264
Lets waitAsante.
Natumai wengine wote niliosaidia watakuja hapa kutoa confessions.....

Mshkaji tu,sina mimba wala nin but huyo kakako nlikia namjaribu kama ana moyo wa kusamehe.Kumbe hana!!Hapa nacheka tu kama mazuri vile![]()
![]()
![]()
Sasa we utakuwa bado wifi yangu au kwasasa umekuwa mshikaji tu??
Kiroho safi kabisa nimekuelewa my dearMshkaji tu,sina mimba wala nin but huyo kakako nlikia namjaribu kama ana moyo wa kusamehe.Kumbe hana!!
Maishani tunakumbwaga na mazito mbeleni na msamaha ndo kila kitu ili safar had uzeej itimie.Kamwambie haya!
Utumishi bado cjaanzaNi salama kabisa.
Habari ya utumishi vipi braza!
Huyu ni wa ulanzi tu hamna namnaKaribbbuuu huku ni mwendo Wa likes na comments.....
Unakunywa kinywaji gani
Msaidie thithi thithi ni baba dhao na ma dhaoMkuu tafadhali usitumie sana hivyo vifupisho dd*,gn*....
Amazing bado anamsaidiaMsaidie thithi thithi ni baba dhao na ma dhao
Jamaa ameenda kujinyonga
Hahah chezea kipare wew!Sijaielewa kabisa, jibu gani linatumbuliwa au jipu?? Sasa sikuhizi akili yako hamishia hapa, fb wapotezee tu
Yamenikuta mie.
Jimena amekuwa mkali sana.Hahah chezea kipare wew!
Atakuwa mtamWifi kauzuu kuliko dagaaa
Ama kweli...Hehehe kaaazi kweli kweli
Jamaa nimemsaidi hadi kuotesha watoto.

Usiogope brother.
Briz alifungua pazia leoduh, hawa wadau briz & Cobblepots ni mda sana sijawanyaka ...