Makapuku Forum

Makapuku Forum

657ce6007480cc74b04ffe22726c755c.jpg
Natamani ningezaliwa huku.
Sabuni zingepanda bei kwaajili yangu.
 
usiwe ma hasira mkuu aggy hana chochote ni mzima, bado akupenda, achana na youngblood hana lolote kwanza jogoo hawiki mjini...
cc
Aggyjay acha kumtishia emmyguy bhana, rudi kwako
Acha kumpa mwenzako matumaini ambayo hayapo,aggyjay alisema kwamba ni uongo baada ya kuona jamaa ametoka nduki akazani labda jamaa ameenda kubugia sumu ya kunguni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom