1/ mwanaume mwenye maumbile makubwa zaidi duniani
Ni Robert Esquivel Cabrera mwenye umri wa miaka 54 raia wa Mexico, akitokea kijiji kinachojulikana kama Saltillo
Anamiliki umbile la sehem za siri lenye urefu wa 18.9 inches na uzito wa pound mbili
View attachment 568350
Uume wake umemsababishia matatizo kiafya na kutokana na uzito wenyewe jinsi ulivyo unahitaji mto wa kulalia kumuepushia adha na tabu nyakati za usiku
View attachment 568351
Madkatari nchini humo walithibitisha ni umbile halisi na sio udanganyifu wowote na kwa uthibitisho zaidi bwana Robert alipigwa x ray kama inavyoonekana hapa
View attachment 568353
Anasema kua hawezi kuoata lile tendo adhim tendo la ndoa wala mumuingilia mwanamke yeyote yule sababu ya unene wa umbile lake, alishajaribu mara mbili tu kukutana kimwili na wanawake tofauti lakini kati ya mara hizo mbili hakuna hata mara moja iliyowezekana
Mwanamke wa kwanza hakuweza mara baada ya kuona maumbile ya bwana huyu na wa pili yeye akijaribu kabisa lakini aslihindwa kuhimili kutokana na maumivu aliyokua akiyapata
View attachment 568360
Serikali ya Mexico inamtambua bwana Robert kama mlemavu na humsaidia mahitaji muhimu ya mwanadam, alishajaribu kushawishiwa kufanyia upasuaji wa kuuupunguza uume wake ili aweze kua na maumbile kawaida ni imwezeshe kufurahia tendo la ndoa lakini alikataa mara zote zlizofuatwa kuombwa juu ya swala hilo
Mwenyewe anasema kua ana furaha na maumbile yake na anajua hakuna kiumbe chochote chenye maumbile kama yake, anatamani awemo kwenye kitabu cha orodha za waliovunja rekodi za dunia al maarufu kama Guinness Book of Records lakini aliambiwa kwa rekodi yake hiyo haitambuliki
Hajakata tamaa bado anaamini atapata mwanamke mwenye maumbile ya kuhimili umbile lake na zaidi akiona hapati bas anashauku awe porn star
View attachment 568365
Najua ulikua hujui nami niko hapa kukujuza.
Madame S