Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Hallelujah
Binamu asante jaman Mungu ampuzishe kwa amani brenda ngoja muhenga sakayo akuje ataifurahia sanaUkimya haumaanishi kunyamaza
MarahabaShikamoo dada akee shunii
Me na we tuna ugomviiiiiMarahaba

Binamu aje ajibu kwanza kwahiyo binamu me ni mgomvi sana eenh....lazima utakuwa chanzo cha ugomvi wewe
Binamu aje ajibu kwanza kwahiyo binamu me ni mgomvi sana eenh
Binamu unanianza ujue mbona me kapole katoto ka watu....sijasema wewe ni.mgomvi, najua kabisa wewe ni mtu mzuri yaani gudipipo
HahahaBinamu asante jaman Mungu ampuzishe kwa amani brenda ngoja muhenga sakayo akuje ataifurahia sana
Kwa nini tena mdogo wanguMe na we tuna ugomviiiii![]()
Hilo nalo neno....lazima utakuwa chanzo cha ugomvi wewe
Salama shedede za wewe miss uWakuu habar..?
post using my macbook air using jamiiforums app
tutumieni na mb basi jamaanAnko lee empire asante sana kwa hadithi ya Mr X (wenye zinazowatosha wao washazipeleka kwenye zile movie za X, sijui akili zingine zinatokaga wapi, shedede usifanye hivyo bhana).
Hivi kwenye hii shughuli ulichangia shingapi maana baadaye ulituhumiwa kuondoka na bibi harusi mtarajiwa
Shedy Hujambo weweWakuu habar..?
post using my macbook air using jamiiforums app