Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa udhamini wa Chia seeds sina la ziada kutoka kwenye leo katika historia
Jina langu naitwa Jimena Jimenes nawatakia siku njema yenye furaha tele
bbb33868d48e607fee9abe61009c828a.jpg

Asanteni sana
 
a0aca768e09760613d9d6c8fccc00bd9.jpg
2892ec18b4aec0edfb058d2073d862c1.jpg
bfa14764e76f3d6880e807356d5e7cde.jpg

Nani zaidi kati ya Madiba na Kamvarage?
Kwangu mimi Kambarage yupo juu maana harakati zake za ukombozi zilikuwa ni kubwa nje ya nchi....kilichomwongrzea umaarufu Madiba ni kufungwa jela tu na kisha kuwasamehe weupe(makaburu) na ubaguzi wa rangi huko bado unawasumbua

Ujanani alikutana na binti mrembo na mjanjamjanja Winnie ambayo alimsaidia sana kwenye harakati za kisiasa ila akansaliti akiwa jela na ndoa yao kulegalega kisha kutengana
Alaja kumuoa Graca Machel uzeeni ambaye ni mjane waSamora Machel

Alifariki mwaka 2013 akiwa na miaka 95
What a blessing?
.....
Dah watu wana pita mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo katika Historia

1960 - Gabon yajipatia Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
c54d3216f65ba33e1fc82fd5b6ad9f45.jpg
6faa301773a0b97e373d0f932344e0e9.jpg
33e3da7f146f65d49d601fcd8805a618.jpg

Huko alikuwepo kiongozi tapeli tapeli bwana Omar Bongo ambaye alitawala kipindi kirefu kiasi cha kujiita Rais wa maisha ila kifo kikamfuata huko huko ikulu

Sasa uelewe utapeli wa Mzee Bongo ndio uliosababisha jiji la Bashite kuitwa bongo kutokana na kujaa matapeli
.........
 
Leo katika Historia

1962 - Peter Fechter anapigwa risasi na kuuwawa na walinzi alipojaribu kuvuka ukuta mpya wa Berlin.
c8202028728765272d2c5e198232e125.jpg
fc7eac17ab44eb1030d5e1fd834bf51d.jpg
08f12c034e4848c2897da360806d0946.jpg

Alikuwa na umri wa miaka 18 tu
Enzi hizo ukuta huo uliitenganisha Ujerumani Magharibi na Mashariki
Walikuwa hawaelewani kama Wakorea
........
 
Leo katika Historia

1998 - Rais Bill Clinton wa Marekani anakiri kupitia tepu zilizorekodiwa kuwa, alikuwa na uhusiano na Monica Lewinsky, mfanyakazi wa ikulu ya Nchi hiyo.
db8f934693952aa75cbe422fbe1d473e.jpg
2bf3bb6c5f430731f21d8dab93db4ad1.jpg
d6e9b1647f6a83a10d891a379d18a40d.jpg

Ukistaajabu ya Clinton & Lewinsky utayaona ya JFK & marilyn Monroe
Hawa wote wanaaminika kuwa Marais viwembe wasiotaka kupitwa na walimbwende
86f6220f3ba19765b6b7b5152447de05.jpg
0e89bf1c967797715ffcd8faebc7cbdc.jpg

Filamu na vitabu kuhusu skendo hiyo zipo nyingi tu
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom