Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/Canada
7d274ccebe8507e656e6e7053759ccbb.jpg
9806b421c9c90767c86b9db61b05e315.jpg
6265dfa66774ffddd8c08d58150e105c.jpg

Kuna aliyesoma walau darasa la 7 somo la Jiografia asiyeifahanu Canada linspokuja suala la kilimo,madini na viwanda ?
Ni nchi inayopatikana huko Amerika Kaskazini jirani na Taifa jeuri la Marekani
Ndiyo nchi inayodifika kwa uzalushaji ngano ....sasa jiulize kuna viwanda vingapu vya kuchakata ngano na kuweka kwenye viroba huko
Usisahau dhahabu inayopatikana huko Ontario nayo pia inachangia kujengwa viwanda huko
Viwanda vya uzalishaji bidhaa mbalimbali huko Canada huchangia pato kwa USD 145 Bilioni ambayo ni zaidi ya 10% ya GDP
Gharama ya wafanyakazi ni USD 31 Kwa saa wakati huku kwetu Vingunguti viwanda vinatupigia kelele halafu kwa saa ukute wafanyakazi wanalipwa Jero tu
.....
Huku viwanda vipo mdomoni tu
 
5/South Korea
0a9298814edaf1cdf1deaeb461ecedfd.jpg
cbedd2091198da2f1822c8e86569264e.jpg
dce3341ae7f059162be85d1e0e0ba598.jpg

Kwa hapa Jf mtu akitumia simu ya SAMSUNG anajiona bonge la mjanja kuliko akina TECNO yaani yupo radhi anunue Samsung ya 500k yenye kamera mbovu kuliko Tecno ya 200k yenye kamera nzuri ilimradi atambie brand utafikiri imetoka kwa babu yake
Kampuni hii kubwa zaidi huko Korea Kusini ndiyo iliyomwondoa nadarakani Rais wao mwaka huu kwa tuhuma za rushwa na mwisho wa siku kupandishwa kizimbani
Wakorea wanasifika kwa kuzalisha bidhaa zenye viwango hivyo usishangae kutawala soko
Uzalishaji wa viwandani huchangia USD 350 ambayo ni 33% ya GDP
Huku vikilipa kodi ya moja kwa moja ya 25%
.......
 
4/Japan
86489cb12762ec148d1f4c0a08930d26.jpg
88415f93fe104190f475153d67fca31e.jpg
8b360df73259e57797e069202d111f8f.jpg

Aliyebuni bendera yao anaweza kuwa mbunifu mvivu kuliko wote duniani nafikiri alikuwa keshapiga maji wakati anachora
Huku Bongo katika nagari 10 ya usafiri binafsi 8 yanaweza kuwa ni TOYOTA yaani wamelikamata soko la bongo
Avhana na Toyota vipi kuhusu Suzuki,Honda,Toshiba n.k ?
Pale EPL wajapan ndio waliowadhamini Chelsea kupitia matairi ya Yokohama.....wazee wa viwanda
Viwanda huzalisha na kuchangia USD 1,000 Bilioni ambayo ni 20% ya GDP
Hulipa kodi ya 33%
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom