Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,630
Mtaasisi hii picha iko na shida haionekani
Okay, ngoja nifanye makeke ionekane au niibadili kabisa
Mtaasisi hii picha iko na shida haionekani
InaonekanaMtaasisi hii picha iko na shida haionekani
Kipo umesahau kuwa huyo ni dj ObeBinamu heshima yako tu hivi we kuna cha kukuomba jaman ila nimekumiss tu mimi
Nawe pia mkuu ChaplinMuwe na mchana mwema
Mie cjambo pia mke mweee D na baba ake hawajamboMama jj me mzima jaman hofu kwako tu
Kipo umesahau kuwa huyo ni dj Obe
My swiKipo umesahau kuwa huyo ni dj Obe
Penda sana weweMy swi![]()
![]()
![]()
![]()
...ha ha ahahahah, ninalala kama bondia, anaweza kuomba mkanda wakati mimi ni mutu ya mamiziki
mzima lkn
Binamu naomba nyimbo mie iniburudishe na hali ya hewa hii...ha ha ahahahah, ninalala kama bondia, anaweza kuomba mkanda wakati mimi ni mutu ya mamiziki
Sinza kuna mvua eheeBinamu naomba nyimbo mie iniburudishe na hali ya hewa hii

Woyooooooooooo watu na bae zaoKiss kiss
Uko poa lakini
Hamna mvua ila hali ya hewa ya wingu zito huku mbezi jaman sio sinza shemelaSinza kuna mvua ehee![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbe mbezi, nilijua sinzaHamna mvua ila hali ya hewa ya wingu zito huku mbezi jaman sio sinza shemela
Shemela jaman nakaa mbezi mimi malamba mawiliKumbe mbezi, nilijua sinza