Hivi viwanda vya wauza unga huhesabiwa? Maana huku bdio chimbuko la maDon wa ukweli sio huku Bongo hadi muuza pipi eti anajiita tu Don....haka ni kadon uchwara tu
Nafikiri Chicharito asingejua kuucheza mpira muda huu angekuwa kitaa anabwia unga na kukaba au angekuwa kiwandani
Nchi ya Mexico nayo inazalisha bidhaa nyingi tu huko Amerika kama picha inavyoonyesha hadi gari kutengeneza sio ishu
Gharama za kuwalipa wafanyakazi viwandani ni wastani wa USD 6 tu kwa saa usishangaeDonald Trump kutaka kujenga ukuta ili wasiingie Marekani
Viwanda hupigwa kodi ya moja kwa moja ya 30%
Huchangia pato kwa karibia 18% ya GDP yaani USD 160 Bilioni
........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.