Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20170815_074819_224.JPG


Madame S
 
8/Mexico
742fd9f6539ffdbe8fc6681804dc074b.jpg
4df0cdcfa581f3f6b98ab0dae5277bd8.jpg
6b5e1be96c359eeee6f22fc78cf1b297.jpg

Hivi viwanda vya wauza unga huhesabiwa? Maana huku bdio chimbuko la maDon wa ukweli sio huku Bongo hadi muuza pipi eti anajiita tu Don....haka ni kadon uchwara tu
Nafikiri Chicharito asingejua kuucheza mpira muda huu angekuwa kitaa anabwia unga na kukaba au angekuwa kiwandani
Nchi ya Mexico nayo inazalisha bidhaa nyingi tu huko Amerika kama picha inavyoonyesha hadi gari kutengeneza sio ishu
Gharama za kuwalipa wafanyakazi viwandani ni wastani wa USD 6 tu kwa saa usishangaeDonald Trump kutaka kujenga ukuta ili wasiingie Marekani
Viwanda hupigwa kodi ya moja kwa moja ya 30%
Huchangia pato kwa karibia 18% ya GDP yaani USD 160 Bilioni
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom