Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/ mtu mwenye masharafa marefu zaidi duniani

View attachment 567434

Si mwingine bali ni raia wa nchuni India, anajulikana kama Ram Singh Chauhan mwenye umri wa miaka 59 akitokea huko Rajasthan. Alianza kufuga mashara hayo mwaka 1982

Masharafa yake yana urefu wa 4.29 m sawa na (14 feets) yalipimwa katika kipindi cha luninga kilichojulikana kama "Lo show Di Record" mjini Italy na kuingia kwenye records za kidunia 04 March 2010

Venye anakwambia masharafa ni alama ya uanaume na huwashangaa sanavijana wakizinyoa.

Huchukua masaa 2 kusafisha masharafa yake kila siku na hutumia mafuta ya nazi pamoja na ya zetuni kuchania saharafa zake

Hajawahi kuzinyoa maisha yake yote huzipunguza tu kiasi zisizibe mdomo wake au kuufunika kabisa na huziosha kila baada ya siku kumi kwa msaada wa mkewe

View attachment 567441

Madame S
Wenzake tunafuga bata
Yeye anafuga ndevu

Atalala njaa

......
 
IMG_20170816_095936_865.JPG


Ua hili linajulikana kisayansj kama Abrus precatorious au kwa jina maarufu the crab's eye (jicho la kaa)

Ua hili linapatikana zaidi kusini mashariki mwa bara la Asia

Mbegu za ua hili zina chemikali kali yenye sumu na endapo ikigusana na mwanadam hußababisha uharibifu wa seli za mwili

Ikatokea limemezwa bila kukwanguliwa mbegu zake au kuzichuna halina madhara lakini litakapokwanguliwa huua kwa haraka


Madame S
 
Leo katika Historia

1977 - Elvis Prisley anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwimbaji mashuhuri toka nchini Marekani. Kwa sisi nashabiki wa Michael Jackson huyu ni Baba mkwe wetu maana kama mtakumbuka vizuri Michael aliwahi kuwa mume wa mwanadada Lisa Prisley ambae ni mtoto wa Elvis ndoa iliyodumu kwa muda mfupi tu nadhani mwaka mmoja kama sikosei

7e8bc41d5fb62748ce8d92718a14c448.jpg
7263d868bfc1ce375c4479c9e5873911.jpg
d5b02ef7b6883bc63658d4ac8ca538f0.jpg
Alikuwa na umri wa miaka 42 tu
Life bagan at 40!!! Kwa hiyo ndio alikuwa akianza naisha
9832c1647ca0f2a70c7b16c3e9f66173.jpg
cdc06f75792584c3383e6913c8614d80.jpg
eb35e2a2260208631288750b67d87f8c.jpg

Couple ya Michael & Lisa ni miongoni mwa couple maarufu duniani za muda wote japokuwa walimwagana :
I Can't Help Falling In Love With You
......
 
Uliwahi kujua kama yapo baadhi ya mimea hula wadudu kama ulikua hujui leo nakujuza

IMG_20170816_100034_245.JPG


Ua hili hujulikana kitaalam kama round leaved sundrew

Ua hili hujipatia riziki yake kupitia wadudu

Kwa msaa wa maelezo kutoka Wikipedia mmea huu hula wadudu kutokana na rangi yake

Hutoa maji maji mithili ya glistening, maji maji haya huangusha matone yenye usukari ndani yake, na ikitokea mdudu akatua kwenye maji haya ambayo hupatikana pembezoni mwa ua hili hunata na kupelekea ua hili kujizungusha mwili mwa mdudu huyo na kumla


Lets call it a day untill next time

Mbaki salama nawapenda sana.

Madame S
 
4/ mfaham mwanamke mwenye maziwa makubwa zaidi duniani

View attachment 567467

Jina lake kamili ni Annie Hawkins Turner (a.k.a Normal Stitz) akitokea United States of America mwenye maziwa yenye urefu wa 109.22cm yenye umbo la mduara yaliyojijaza vyema kifuani mwake

Anavaa bra size 521 sidiria kubwa kuwahi kutengenezwa

Annie alianza kukua maziwa hayo akiwa na miaka 9 na madokta walimshauri kumfanyia upasuaji wayapunguze ukubwa wake alikataa na kusema hawezi kupingana na uumbaji wa Mungu na ni mama wa watoto wawili

Aliingia rasmi mwaka 2000 kwenye Guinness World Records

Madame S
Hizo nido au makalio

......
 
3/je wajua busu lilichokua mda refu zaidi duniani?

Busu hili lilidumu kwa takribani masaa 53 dakika 35 na sekunde 58 na lilikua ni kati ya Bw. Eklachai Tiranant mwenye miaka 44 na Bi Laksana mwenye miaka 33 raia wa nchini Thailand wakitokea kijiji kinaitwa Pattaya

Mashindano hayo yalifanyika makumbusho yaliyojulikana kama Ripley's museums huko Pattaya

Walifanikiwa kuvunja rekodi hiyo na kuingia rasmi kwenye kitabu cha dunia cha Guiness World Records

Madame S
Bila picha hatuamini

......
 

Pata burudani sasa kutoka kwa huyu bibi bomba madonna



Rekodi inaitwa frozen toka kwa Madonna... Kifupi mimi huyu bi mkubwa namuelewa nje ndani



Hii ndio ngoma nnayoikubali zaidi kutoka kwa Madonna
inaitwa La Isla Bonita........ Sijui kwavile alivyoimba alichanganya na maneno ya kispanish Watu na lugha zetu
Asante ni kwa kuwa nami kwenye leo katika historia
Niite Jimena Jimenes ila usisahau tu kuwa haya yamewezekana kwa hisani ya Ximena's red wine ambayo inapatikana kwa ladha sweet na dry

Madonna ni Malkia wa popo duniani
Michael Jackson ni Mfalme wa popo duniani

Vizazi na vuzazi vitawakumbuka watu hawa na kuburudika
.......
 
Leo katika Historia

2003 - Idd Amin Dadah anafariki Dunia.
Alikuwa ni Dikteta na Rais wa 3 wa Uganda.
Alisifika kwa utawala wa Mkono wa chuma, ambapo watu waliompinga walikiona cha mtema kuni.

ed47e0894a2bc966f27c2a8f712c43c1.jpg


2af0ab4581ae110510fe087f6ef44671.jpg

Mmoja kati ya madikteta kumi bora wa muda wote
Alifariki akiwa na umri wa miaka 78
Ndiye chanzo cha Waisrael kufanta Operation Entebbe ili akomboe mateka wao na kupelekea kifo cha [b[Jonatan Netanyahu[/b]
Pia ndiye chimbuko la Vita Ya Kagera baada ya kumchokoza Kambarage na kuishia kupigwa na ukawa mwisho wa utawala wake
Alisifika kwa kuparamia wanawake kiasi idadi ya wanawe haijulikani
039c399aa0cca1c60644108f2bbdd565.jpg

Kauli yake iliyobamba
90625fdb198d3fd2875cc88d3e51d9e7.jpg
b4be895bc8ab7ed81feb643fd3329de1.jpg

Filamu kibao zimechezwa kumuhusu
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom