Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1960 - Cyprus yajipatia Uhuru wake toka kwa Uingereza.
1ee4d6d1873b307eb62bf804444ceada.jpg
aae55e2be69510459ff0ad66ca7922e9.jpg
334756ab8a2c2eec0858361161958f8d.jpg

Ni nxhi isiyojulikana sana
Imezidiwa umaarufu hata na Hammorapa
Huko ndiko alipokuwa anajidai kidume wa Irene Uwoya aitwaye Hamad Ndikumana kucheza soka la kulipwa
.....
 
4/ mfaham mwanamke mwenye maziwa makubwa zaidi duniani

IMG_20170816_083859_644.JPG


Jina lake kamili ni Annie Hawkins Turner (a.k.a Normal Stitz) akitokea United States of America mwenye maziwa yenye urefu wa 109.22cm yenye umbo la mduara yaliyojijaza vyema kifuani mwake

Anavaa bra size 521 sidiria kubwa kuwahi kutengenezwa

Annie alianza kukua maziwa hayo akiwa na miaka 9 na madokta walimshauri kumfanyia upasuaji wayapunguze ukubwa wake alikataa na kusema hawezi kupingana na uumbaji wa Mungu na ni mama wa watoto wawili

Aliingia rasmi mwaka 2000 kwenye Guinness World Records

Madame S
 
2/ mtu mwenye masharafa marefu zaidi duniani

View attachment 567434

Si mwingine bali ni raia wa nchuni India, anajulikana kama Ram Singh Chauhan mwenye umri wa miaka 59 akitokea huko Rajasthan. Alianza kufuga mashara hayo mwaka 1982

Masharafa yake yana urefu wa 4.29 m sawa na (14 feets) yalipimwa katika kipindi cha luninga kilichojulikana kama "Lo show Di Record" mjini Italy na kuingia kwenye records za kidunia 04 March 2010

Venye anakwambia masharafa ni alama ya uanaume na huwashangaa sanavijana wakizinyoa.

Huchukua masaa 2 kusafisha masharafa yake kila siku na hutumia mafuta ya nazi pamoja na ya zetuni kuchania saharafa zake

Hajawahi kuzinyoa maisha yake yote huzipunguza tu kiasi zisizibe mdomo wake au kuufunika kabisa na huziosha kila baada ya siku kumi kwa msaada wa mkewe

View attachment 567441

Madame S
Looooh!! Ukiistaajabu ya musa utayaona ya firauni
 
4/ mfaham mwanamke mwenye maziwa makubwa zaidi duniani

View attachment 567467

Jina lake kamili ni Annie Hawkins Turner (a.k.a Normal Stitz) akitokea United States of America mwenye maziwa yenye urefu wa 109.22cm yenye umbo la mduara yaliyojijaza vyema kifuani mwake

Anavaa bra size 521 sidiria kubwa kuwahi kutengenezwa

Annie alianza kukua maziwa hayo akiwa na miaka 9 na madokta walimshauri kumfanyia upasuaji wayapunguze ukubwa wake alikataa na kusema hawezi kupingana na uumbaji wa Mungu na ni mama wa watoto wawili

Aliingia rasmi mwaka 2000 kwenye Guinness World Records

Madame S
Kwa wapenda chuchuz hapa hawana chaoo...

Huyu anaweza kunyonyesha mtoto yupo mgongoni anabetua tu ziwa mtoto ananyonya
 
5/ mjue mtoto aliezaliwa akiwa na uzito mkubwa zaidi duniani

Anna Bates alojifungua mtoto huyu akiwa na uzito wa 9.98 kg nyumbani kwake Seville, Ohio

Mtoto huyu hakupewa jina rasmi na alifariki masaa 11 baadae (basda ya kuzaliwa kwake)

Imeripotiwa kua Anna jumba lake la uzazi lilipasuka na kupoteza maji mengi yaliyakdiriwa kua na ujazo wa gallons sita

mtoto mwengine aliezaliwa na fransica rames dos Santos raia wa (Brazil) alijifungua mtoto wa kiume mwenye uzito wa kg 7.57 18 January 2005 alikua ni miongoni !wa watoto wenye uzito mrefu zaidi kuwahi kuzaliwa duniani

Madame S
 
5/ mjue mtoto aliezaliwa akiwa na uzito mkubwa zaidi duniani

Anna Bates alojifungua mtoto huyu akiwa na uzito wa 9.98 kg nyumbani kwake Seville, Ohio

Mtoto huyu hakupewa jina rasmi na alifariki masaa 11 baadae (basda ya kuzaliwa kwake)

Imeripotiwa kua Anna jumba lake la uzazi lilipasuka na kupoteza maji mengi yaliyakdiriwa kua na ujazo wa gallons sita

mtoto mwengine aliezaliwa na fransica rames dos Santos raia wa (Brazil) alijifungua mtoto wa kiume mwenye uzito wa kg 7.57 18 January 2005 alikua ni miongoni !wa watoto wenye uzito mrefu zaidi kuwahi kuzaliwa duniani

Madame S
Aisee dah
 
Leo katika Historia

1958 - Ni siku ya kuzaliwa kwa Madonna.
Mwimbaji mashuhuri wa muziki toka nchini Marekani.
Nikiwa kama shabiki hai wa Madonna ntacheza ngoma zake kama tatu hivi.. Ambazo nazikubali sana

382949383ae23a5eb39660af8003370e.jpg
dbbb57bece97f0b6a5f01b1bd5d17325.jpg
d060ad749c7bdb7f6dd64b03a3c55684.jpg

Huyu bibi anapenda kukaa uchi na kutoka na dogodogo(Nario) pia kupiga picha za utupu
Kimuziki yupo vizuri na ni miongoni mwa wanamuziki wa kike 10 bora wa muda wote
Kama unamfahamu [b[Lady Gaga[/b] basi elewa alikuwepo Madonna na amezidiwa kila kitu na Madonna hadi pesa
Ana mkwanja unaofikia USD 800 Milioni na bado anazitafuta tu pesa hata kwa kukaa uchi
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom