Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/ mtu mwenye masharafa marefu zaidi duniani

View attachment 567434

Si mwingine bali ni raia wa nchuni India, anajulikana kama Ram Singh Chauhan mwenye umri wa miaka 59 akitokea huko Rajasthan. Alianza kufuga mashara hayo mwaka 1982

Masharafa yake yana urefu wa 4.29 m sawa na (14 feets) yalipimwa katika kipindi cha luninga kilichojulikana kama "Lo show Di Record" mjini Italy na kuingia kwenye records za kidunia 04 March 2010

Venye anakwambia masharafa ni alama ya uanaume na huwashangaa sanavijana wakizinyoa.

Huchukua masaa 2 kusafisha masharafa yake kila siku na hutumia mafuta ya nazi pamoja na ya zetuni kuchania saharafa zake

Hajawahi kuzinyoa maisha yake yote huzipunguza tu kiasi zisizibe mdomo wake au kuufunika kabisa na huziosha kila baada ya siku kumi kwa msaada wa mkewe

View attachment 567441

Madame S
Hii ndio Dunia tunayoishi
 
2/ mtu mwenye masharafa marefu zaidi duniani

View attachment 567434

Si mwingine bali ni raia wa nchuni India, anajulikana kama Ram Singh Chauhan mwenye umri wa miaka 59 akitokea huko Rajasthan. Alianza kufuga mashara hayo mwaka 1982

Masharafa yake yana urefu wa 4.29 m sawa na (14 feets) yalipimwa katika kipindi cha luninga kilichojulikana kama "Lo show Di Record" mjini Italy na kuingia kwenye records za kidunia 04 March 2010

Venye anakwambia masharafa ni alama ya uanaume na huwashangaa sanavijana wakizinyoa.

Huchukua masaa 2 kusafisha masharafa yake kila siku na hutumia mafuta ya nazi pamoja na ya zetuni kuchania saharafa zake

Hajawahi kuzinyoa maisha yake yote huzipunguza tu kiasi zisizibe mdomo wake au kuufunika kabisa na huziosha kila baada ya siku kumi kwa msaada wa mkewe

View attachment 567441

Madame S
Namuonea huruma mke wake me si pendi jaman hizo mambo sijui najiskiaje
 
Leo katika Historia

1945 - Kunatokea Jaribio la kutaka kumuua Waziri Mkuu wa Japan, Kantari Suzuki lakini Jaribio hilo linashindikana.
11fb4ffa66ce94323cf6b80a012881b2.jpg
1f0d3c5de48437cd8a0b5f1750a4b34a.jpg
093f4cce5931779ce369e2ae638f747b.jpg

Alikuwa Waziri Mkuu wa 42 wa Japan
Alikuwa kamanda wa Jeshi la Wanamaji
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom