Makapuku Forum

Makapuku Forum


Hii ndio ngoma nnayoikubali zaidi kutoka kwa Madonna
inaitwa La Isla Bonita........ Sijui kwavile alivyoimba alichanganya na maneno ya kispanish Watu na lugha zetu
Asante ni kwa kuwa nami kwenye leo katika historia
Niite Jimena Jimenes ila usisahau tu kuwa haya yamewezekana kwa hisani ya Ximena's red wine ambayo inapatikana kwa ladha sweet na dry
 
3/je wajua busu lilichokua mda refu zaidi duniani?

Busu hili lilidumu kwa takribani masaa 53 dakika 35 na sekunde 58 na lilikua ni kati ya Bw. Eklachai Tiranant mwenye miaka 44 na Bi Laksana mwenye miaka 33 raia wa nchini Thailand wakitokea kijiji kinaitwa Pattaya

Mashindano hayo yalifanyika makumbusho yaliyojulikana kama Ripley's museums huko Pattaya

Walifanikiwa kuvunja rekodi hiyo na kuingia rasmi kwenye kitabu cha dunia cha Guiness World Records

Madame S
 
3/je wajua busu lilichokua mda refu zaidi duniani?

Busu hili lilidumu kwa takribani masaa 53 dakika 35 na sekunde 58 na lilikua ni kati ya Bw. Eklachai Tiranant mwenye miaka 44 na Bi Laksana mwenye miaka 33 raia wa nchini Thailand wakitokea kijiji kinaitwa Pattaya


Walifanikiwa kuvunja rekodi hiyo na kuingia rasmi kwenye kitabu cha dunia cha Guiness World Records

Madame S
Pichaaaaa
 
Leo katika Historia

1946 - Kunatokea Maandamano makubwa huko Kolkata India na kusababisha mauaji ya watu 4000 ndani ya saa 72.
e64f6fe32e7ddc6a9e67e13bd3501a05.jpg
8e3884432007f79c12391583f5627f78.jpg
d650454fe91c9ed8f6cfcccfa04d252f.jpg

Ilijulikana kama Great Calcutta Killings ila pia inapendelea kuitwa Direct Action Day
Ilikuwa ni mapambano baina ya Wahindu na Waislamu wa India
.......
 
2/ mtu mwenye masharafa marefu zaidi duniani

View attachment 567434

Si mwingine bali ni raia wa nchuni India, anajulikana kama Ram Singh Chauhan mwenye umri wa miaka 59 akitokea huko Rajasthan. Alianza kufuga mashara hayo mwaka 1982

Masharafa yake yana urefu wa 4.29 m sawa na (14 feets) yalipimwa katika kipindi cha luninga kilichojulikana kama "Lo show Di Record" mjini Italy na kuingia kwenye records za kidunia 04 March 2010

Venye anakwambia masharafa ni alama ya uanaume na huwashangaa sanavijana wakizinyoa.

Huchukua masaa 2 kusafisha masharafa yake kila siku na hutumia mafuta ya nazi pamoja na ya zetuni kuchania saharafa zake

Hajawahi kuzinyoa maisha yake yote huzipunguza tu kiasi zisizibe mdomo wake au kuufunika kabisa na huziosha kila baada ya siku kumi kwa msaada wa mkewe

View attachment 567441

Madame S
Anatisha!
 
Leo katika je wajua nami nakujuza zaidi nitaileta tofauti sio kwa mfumo wa kupost picha picha kama tulivyozoea



1/ je wamjua mbwa kudogo kuliko wote ulimwenguni??


View attachment 567427

Anajulikana kama Milly ni mbwa mwenye urefu sawa na kiatu cha mchuchumio chenye urefu wa 9.65 cm, mmiliki wa mbwa huyu anajuliiana kwa jina Vanessa Samler anayepatikana huko Puerto, Rico.

Jina kamili la mbwa huyu anajulikana kama Miracle Milly alizaliwa 1 December 2011 na kuingia rasmi kwenye record za kidunia ( Guinness World Records 12 February 2013)

Madame S
Mbwa huyu ni mbilikimo
 

Hii ndio ngoma nnayoikubali zaidi kutoka kwa Madonna
inaitwa La Isla Bonita........ Sijui kwavile alivyoimba alichanganya na maneno ya kispanish Watu na lugha zetu
Asante ni kwa kuwa nami kwenye leo katika historia
Niite Jimena Jimenes ila usisahau tu kuwa haya yamewezekana kwa hisani ya Ximena's red wine ambayo inapatikana kwa ladha sweet na dry

Asante ankali JJ kwa historia bora kabisa
 
3/je wajua busu lilichokua mda refu zaidi duniani?

Busu hili lilidumu kwa takribani masaa 53 dakika 35 na sekunde 58 na lilikua ni kati ya Bw. Eklachai Tiranant mwenye miaka 44 na Bi Laksana mwenye miaka 33 raia wa nchini Thailand wakitokea kijiji kinaitwa Pattaya

Mashindano hayo yalifanyika makumbusho yaliyojulikana kama Ripley's museums huko Pattaya

Walifanikiwa kuvunja rekodi hiyo na kuingia rasmi kwenye kitabu cha dunia cha Guiness World Records

Madame S
Aisee duh si mchezo, karibia siku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom