Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Squirrel
ea13dc7d68f36a022a6dfc19cd702c43.jpg
5d2b16a7fb479b1bddd3bdd1a9162eae.jpg
826e0c0ccffe1a9ac6d4a0df6f40ff55.jpg

Kwa kiswahili wanaitwa Chindi
Hawa wanyama ni wa kundi la Mammalia yaani wana matiti ya kuringia kama mademu zetu
Wanapatikani barani Ulaya,Asia,Australia,Amerika na Afrika
Wapo chindi wa aina nyingi ..kuna wanaokaa mitini kama nyani,kuna wanaotamba ardhini kama sungura vile halafu wapo wanaopaa kama popo
Wana uwezo wa kuishi hadi miaka 18
Ni wanyama mbumbumbu kama tabia yao ya kulalalala

Kwa siku hupiga usingizi masaa 15
..
..........
 
9/Treeshrew
1fdf849ce4d8ead194b38f8252c0edb0.jpg
99db914e619ff23be3287b491f9ef4fa.jpg
26c29bd6f9438cab0bd705a0039572a0.jpg

Wanafanana na panya
Sijui kwa kiswahili cha Tuki wanaitwaje
Wanapatikana kwa wingi kwenye misitu yavkitropiki huko Kusini Mashariki mwa bara la Asia
Hawa wanyama pia ni mamalia hivyo kunyinyesha kwao ni starehe
Hawa treeshrew wapo wa aina zaidi a 20

Kwa siku hupiga usingizizi masaa 15.8
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom