Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Wazee wa mechi 1 kufunga goli 3 endeleeni kujifarijiNimeona ngoja ziishe zilizobaki 37 games
Msipoangalia hata EUROPA itawashinda
.....
Wazee wa mechi 1 kufunga goli 3 endeleeni kujifarijiNimeona ngoja ziishe zilizobaki 37 games
Namjua huyu anauza samaki wa kukaanga pale Feri![]()
Umefurahi sasa Shunie..?
Mimi mwanamichezo shemelaHuwezi kuisifia man u hata siku moja
Ndio wale wanaodhani ndege sawa na loriWenyewe wanadai bado mapema![]()
Aisee duhLukakuuuuuu
Wapi Hamorata
![]()
![]()
![]()
.....
Asante shemelaShemela shululu karibu![]()
Thank you Madame. ..
Nitumie no hapa hapaFungua PM nikujazie
![]()
![]()
![]()
.....

We cheka tu shemela
Usimfananishe The Best Motara na vitu vya kijinga.Lukakuuuuuu
Wapi Hamorata
![]()
![]()
![]()
.....
Lukaku yupo vizuri
Yeah.. ....I think I doNow you know !!![]()
![]()
![]()
![]()
.....
Ikifika Januari tutaona nani jembe kati ya Lukaku na Hammorata