Makapuku Forum

Musso ana majukumu
Sweet ana majukumu pia
Briz labda anatumia ID nyingine siku hizi......ni jambo la kawaida tu

Hao wengine wote wapo humuhumu Jf karibu kila siku kama una jambo la msingi nao watafute PM
......
 
Labda la sekondari

Tycoon MAKAVELI Jr.
Sio labda
Mi huwa nawaonaga sana tu ila huwa simfuatilii mtu nikimuona kwenye thread zingine
Uswahiba wamgu na mtu unaishia kwenye hii thread(wachache sana nafahamiana nao nje ya Jf kati ya 50 anaweza kuwa m1) ila humu Jf kila mtu na mambo zake ndio maana nimekushauri kama una ishu nao watafute PM utawapata

....
 
Amen
 
Asante
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…