shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Hapo sasaWe unalala kama mzoga unategemea nn![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Hapo sasaWe unalala kama mzoga unategemea nn![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Nashukuru shemela,hawa marafiki acha wapambane na hali zao baba wawili wangu waniachieShenz saana hawa..![]()
![]()
Na shemej siwez kukukataza urafk nao cz sijui ushoga wenu umeanzia wap, ila kuwa nao makin mnoo.. mie mumeo ni rafk yangu kitambo toka vidudu mpaka leo tuna watoto, mumeo sio chenjegu shemej na nina kuhakikishia anakupenda kuliko anavyoweza kusema..
Mapenz anayokuonesha hayajafikia hata robo ya vile anavyokuzimia..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Asante, nawe piaUsiku mwema!
Madame S
Sawa baba utuletee zawadiNipo lushoto Eugene ya hapa montessori
Good night shem wacha niende nkalale kwangu, chochote kikitokea kikipungua usisite kunipigia simu..Hawezi kwa kweli
My anikaMmmhh una yako wewe
Ni poa hapa..
Mpendwa wakee
Ewaaa.. marhabba shemela langu..Nashukuru shemela,hawa marafiki acha wapambane na hali zao baba wawili wangu waniachie
Eeeh
Asante shemela uwe na ucku mwemaGood night shem wacha niende nkalale kwangu, chochote kikitokea kikipungua usisite kunipigia simu..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Amin na kwako pia shemAsante shemela uwe na ucku mwema