Ebana eeh vipi baridi huko?
Wasalimie Dochi na Sinza
Hivi barabara ya mjini from IJA washapiga lami upya na kuitanua?
Au basi/daladala zinaishia bado bado pale shuleni/uwanjani Shambalai?
Usishau kutuletea matunda damu sado zima buku mbili haivuki km sijakosea
......