Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Jamani upo kumbe! Rudi home bhanaHujachelewa sana shemeji...ile miguu ya kuku ilinifanya nikazurura sana mpaka mtaani nikaitwa "kiguuna njia"nimeitoa huenda nikatulia nyumbani.
Jamani upo kumbe! Rudi home bhanaHujachelewa sana shemeji...ile miguu ya kuku ilinifanya nikazurura sana mpaka mtaani nikaitwa "kiguuna njia"nimeitoa huenda nikatulia nyumbani.
Dadake mie upo!He he he he he he ndo maana yake
Arudi milango iko wa...Oh Hallejah kweli nimeamini Mungu ni mwema kila wakati, Kila wakati Mungu ni mwema...Hii ni ishara tosha ya kurudi kwa baba mtumish na iwe kama upendavyo mama mtumish mimi nishaachia baraka zangu zote kwenu..
Ww uliadimika, sisi tupo.Shem ni mimi niliadimika ama ni wewe uliadimika hapa maana ukipotea wewe na Th Name anapotea naona mitoko ili tamalaki sana..
Mwite dadako hukuDah mkuu mji umetuficha sana plus Magu alivyobana Point inabid tuongeze speed sana ili tuweze kuish maisha yale tuliyokuwa tumeyazoea..
Mie npo poa sanaaaaaShemu mambo!
Nashukuru kusikia hivyo Shem nifikishie salam zangu kwa wote wanao nifahamu huko home..Ww uliadimika, sisi tupo.
Asante shem, nakupenda karibuMie npo poa sanaaaaa
Zimefika shem!Nashukuru kusikia hivyo Shem nifikishie salam zangu kwa wote wanao nifahamu huko home..
Shem langu, uko poaTuko poa shem
Niko poa shem wangu!Shem langu, uko poa
Wifi mzima wewe?Mie npo poa sanaaaaa
Hahaha leo mapema rafiki, mambo!Wazima humu ndani
Salama.Hahaha leo mapema rafiki, mambo!