Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Mie niko poa sema nimekumiss tuWazima dear, hofu kwako
Mie niko poa sema nimekumiss tuWazima dear, hofu kwako
Leo mmemsikia mwenyewe akieleza udhaifu wake kuwa utulivu kwake no zero, mlinitukana sana, nami nilitunza siri ya ndani, leo kashuhudia mwenyewe...mnitake radhiNipo, habari ya wewe? Wifi umepata salamu zake?? Hebu mrudishe basii
Kaka katika ubora wakoLinamo ni mpambe wangu,
Jimena dadake mie
Patience123 ndo aje
Ila sister maadam unataka kupiga mpunga tu...Komaa nae huyu huyu ataeleweka tu..Piga vile vimini vyako pita mbele yake hakika hatoweza himili lazima akabizi kapu la sadaka..Kaka huyu hafai. Ni mwingi Kama mchele
Ck hizi unanitia moyo sana dada nikupendaeKaka katika ubora wako
Bila kusahau dedication.Halafu nakumbuka lazima uchore moyo ulipigwa mkuki katikati...Na swaga fulan za wewe ndiyo asali wangu wa moyo...Bila wewe am nothing....Ukimtumia msichana kwanza akiipata lazima akaisomee toilet ili asishikwe nayo...
Man United tuko juu sanaaa
Kaka huyu ashafilisika sijui hata Kama anamiliki BimaIla sister maadam unataka kupiga mpunga tu...Komaa nae huyu huyu ataeleweka tu..Piga vile vimini vyako pita mbele yake hakika hatoweza himili lazima akabizi kapu la sadaka..
Miss you too dear.... Sijatokea kule maeneo najua hukosagi kabisaMie niko poa sema nimekumiss tu
Huyu jana aliniambia ni mhonge sadaka, nkamjibu sihongagi, huwa natoa bureIla sister maadam unataka kupiga mpunga tu...Komaa nae huyu huyu ataeleweka tu..Piga vile vimini vyako pita mbele yake hakika hatoweza himili lazima akabizi kapu la sadaka..
Yapi? Leo nilikuwa kwenye Technology maana kuna ishu inanisumbua kwa simu yanguMiss you too dear.... Sijatokea kule maeneo najua hukosagi kabisa
Tumechukua x 13 tangu ianzishwe 1992Man United tuko juu sanaaa
Usawa huu hapana nenda tu.Huyu jana aliniambia ni mhonge sadaka, nkamjibu sihongagi, huwa natoa bure
Najua wew ni mrembo sana lakin siwezi oa kila mtu dear, uwe tu karibu yangu huduma muhim utapata sana tu linamo..nakupenda eeeUsawa huu hapana nenda tu.
Ha haaaa kuna mtu aliwahi sema nenda ntapata mwingine.
Pastor unatishaNajua wew ni mrembo sana lakin siwezi oa kila mtu dear, uwe tu karibu yangu huduma muhim utapata sana tu linamo..nakupenda eee
Jimena njoo unishauri naona linamo kumbe alimaanisha unasemaje?Usawa huu hapana nenda tu.
Ha haaaa kuna mtu aliwahi sema nenda ntapata mwingine.
Kwa Ligi Kuu Uingereza imeanza mwaka 92'..?![]()
EPL tangu ianzishwe 1992
Man utd 13
Chelsea 4
Arsenal 3
Man City 2
Blackburn 1
Leicester 1
...................