makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,930
- 104,253
Babu huo ugonjwa wa mapenzi achana nao kila mtu anaugulia kivyake moyoni mtu atajifanya jasiri nini lakini moyo ni kichaka anajua anavyoumia kuhusu mapenzi acha tu niyaamkie shikamoo mapenzi![]()

Babu huo ugonjwa wa mapenzi achana nao kila mtu anaugulia kivyake moyoni mtu atajifanya jasiri nini lakini moyo ni kichaka anajua anavyoumia kuhusu mapenzi acha tu niyaamkie shikamoo mapenzi![]()

Kwako nitakuja na Baba D makaveli tukaribishe tu familia yote jamanJuice je..
Huwez kuja kwangu usitie hata baraka shemej
Hahaaa... dar kitambo kweli kweli..Bibi pumu ee...akapumulie chooni na nzi amwingie mdomoni![]()
![]()
![]()
BTW ww itakuwa uko dar kitambo saaaana maana huo msemo hapo(bibi tafa ee) umenikumbusha enzi zileeee
Sawa maka kampe tu hiko kipigo vizuriAnakijua mpigwaji
Siri ya kipigo aijuae mpigwaji
Heri Umekuwa mkweli mjukuu wanguBabu huo ugonjwa wa mapenzi achana nao kila mtu anaugulia kivyake moyoni mtu atajifanya jasiri nini lakini moyo ni kichaka anajua anavyoumia kuhusu mapenzi acha tu niyaamkie shikamoo mapenzi![]()
Nani bitoz.. we jiangalie wewe, mie mtoto wa kigamboni ukanifananishe na nyangema wa matopeniMtapigana mjue![]()
Hv huyu sio bitoz kweli??!!!

Umri wangu mkubwa, ila katika vtu ambavyo nmewah kuapa havitakuja kuntingisha moyo ni mapenz.. nshakutana na vingi ila ukijua jinsi ya kuviface mambo madogo ukiweza kukuntroo mamlaka ya ubongo ndio kabsa..
Sasa mtu akatomb....e huko halaf roho ikuume kwan umet....mbwa wewe.. unadharau una take it easy maisha yanasogea





Tunawait![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ntingi sana
Hukopiakapiga pesa ndefu
Ipo siku nitawaelezea wacheza mieleka 10 wenye mpunga wa kueleweka
........
Kweli maka watu watajifanya kubisha lakini moyoni wanajijua wenyewe wanapelekwa pelekwa tu huko
Ana nyota ya hirizWewe mtotongwa wa Obe.... Una bahati fulani inakunyemelea.... Mume wa kwanza alikuwa Mchawi ukamwacha.. Huyu naye anapenda kwenda kwa waganga... Sijui itakuwaje

Huo ndio ukweli babu atakayebisha naandika tenaHeri Umekuwa mkweli mjukuu wangu