makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,884
- 104,103
Ni poa
Ni vipi
Ni poa
Nambie twinTwin ake!
Is it that serious?Hehehehe
Wote wanaweza kuwa wanaulizwa!
Njia rahisi ya wewe kuepuka swali hilo ni kubadilisha jina, kujibu kila mtu atakaeuliza au kufungua uzi maalumu kuelezea maana ya hilo jina ili mtu akiuliza tu umtag hapo apate kuelewa
*Darasani*
*MWALIMU* Nakua mbona Leo unawaza sana darasani?
*NAKUA* kwasababu baba yupo polisi na mama yupo hospitali
*MWALIMU* ooh pole mwanangu, kwa hiyo unahitaji kwenda nyumbani?
*NAKUA* ndio MWALIMU
_NAKUA akaenda nyumbani, na MWALIMU akawauliza wanafunzi wenzie_
*MWALIMU* kwanini baba Yake NAKUA yupo polisi na mama yake yupo hospitali?
*wanafunzi* kwasababu baba yake ni polisi na mama yake ni nesi
*MWALIMU* pumbavu sana huyu mtoto! Mwiteni arudi
*♂*

Endelea twinHalafu leo niko free! Kwa hiyo ntakuwepo hapa kwa mapana na marefu!!
Leo katika historia inawajia hivi punde tu kwa hisani ya Chia seeds.....
![]()
Karibuni sana
Katongozwa Jana huyoo akamkubalia jamaa
Ilibaki kidogo tu agongwe huyo

Hongera zakeLeo katika Historia
1952 - Hussein Bin Talal anakabidhiwa rasmi Ufalme wa Jordan.
Hongera zao wachadLeo katika Historia
1960 - Ni siku ya Uhuru wa Chad.
Aisee...!!!!Leo katika Historia
1972 - Jeshi la mwisho la Ardhini la Marekani laondoka huko Kusini mwa Vietnamna kuhitimisha kushindwa kwa Marekani katika vita hiyo iliyopigwa kwenye misitu minene.
Katongozwa Jana huyoo akamkubalia jamaa
Ilibaki kidogo tu agongwe huyo
We nawe lopo lopo.. mbona unakuwa kama mtoto wa ngoman husna..
R.I.p peopleLeo katika Historia
2012 - Watu takribani 300 wanapoteza uhai mara baada ya kutokea kwa tetemeko la ardhi huko Tabriz, nchini Iran.
Mimi au yeye ndio anakusingizia..Nisingizie tu
Madame S
H b dLeo katika Historia
1943 - Jenerali Parvez Musharraf anazaliwa.
Ni Jenerali na Rais wa 10 wa nchi ya Pakistan.
In sha allahHell yeah!!see u jamani baadeni
Madame S
Happy birthday hoganLeo katika Historia
1953 - Hulk Hogan anazaliwa.
Ni mwanamieleka toka nchini Marekani.
Wote wawili mnanisingizia mambo sjafanyaMimi au yeye ndio anakusingizia..