makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,011 Reaction score 104,588 Aug 11, 2017 #260,021 shululu said: Morning all kapuku Click to expand... Morng jombaa
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Aug 11, 2017 #260,022 Jimena said: Leo katika Historia 1972 - Jeshi la mwisho la Ardhini la Marekani laondoka huko Kusini mwa Vietnamna kuhitimisha kushindwa kwa Marekani katika vita hiyo iliyopigwa kwenye misitu minene. Click to expand... Moja kati ya Vuta chache zilizowaumbua Wamarekani kando ya Vita ya Ghuba Wamarekani walipigwa na wavaa kofia za mikeka(Wavet) ....
Jimena said: Leo katika Historia 1972 - Jeshi la mwisho la Ardhini la Marekani laondoka huko Kusini mwa Vietnamna kuhitimisha kushindwa kwa Marekani katika vita hiyo iliyopigwa kwenye misitu minene. Click to expand... Moja kati ya Vuta chache zilizowaumbua Wamarekani kando ya Vita ya Ghuba Wamarekani walipigwa na wavaa kofia za mikeka(Wavet) ....
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Aug 11, 2017 #260,023 makaveli10 said: Nilipojua mkee wa swahiba wangu... ikabadilika ghafla toka kuwa dede na ngumu mpingo ikawa km plastic iliyopigwa moto.. Click to expand... Madame S
makaveli10 said: Nilipojua mkee wa swahiba wangu... ikabadilika ghafla toka kuwa dede na ngumu mpingo ikawa km plastic iliyopigwa moto.. Click to expand... Madame S
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,011 Reaction score 104,588 Aug 11, 2017 #260,024 shululu said: View attachment 562995Asubuhi njema makapuku wote Click to expand... Nawe pia joh
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Aug 11, 2017 #260,025 Ollachuga Oc said: Ujambo madam. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sjambo ollah Madame S
Ollachuga Oc said: Ujambo madam. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sjambo ollah Madame S
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Aug 11, 2017 #260,026 Bitoz said: Alifariki dunia mwaka 1999 akiwa na miaka 63 Hivyo inaonesha mwaka 1952 hakufikisha hata umri wa miaka 20 ...... Click to expand... Sema ni hb hataree
Bitoz said: Alifariki dunia mwaka 1999 akiwa na miaka 63 Hivyo inaonesha mwaka 1952 hakufikisha hata umri wa miaka 20 ...... Click to expand... Sema ni hb hataree
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,011 Reaction score 104,588 Aug 11, 2017 #260,027 husna muba said: Huyo sio miss ni Mrs.... Click to expand... Mrs akiwa kwa mumewe kwetu ni miss tuu
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,011 Reaction score 104,588 Aug 11, 2017 #260,028 Jimena said: Zamani lakini wakati bado mdogo..... Lol Sikuhizi nimekuwa shemla Click to expand... Nafurah kujua hilo shem...
Jimena said: Zamani lakini wakati bado mdogo..... Lol Sikuhizi nimekuwa shemla Click to expand... Nafurah kujua hilo shem...
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,011 Reaction score 104,588 Aug 11, 2017 #260,029 Jimena said: Habari ya asubuhi familia..... Click to expand... Saf tu, sijui zako bibie
Husna Muba JF-Expert Member Joined Jan 28, 2017 Posts 14,524 Reaction score 44,585 Aug 11, 2017 #260,030 Obe said: Click to expand...
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Aug 11, 2017 #260,031 makaveli10 said: Hahaa.. malaya mwenzangu.. Click to expand... Shemla nakuona nakuona
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,011 Reaction score 104,588 Aug 11, 2017 #260,032 Madame S said: Usiwe unapotea sana love, maana nanusurika kupigishwa sound Madame S Click to expand... Wee nawe umeanzA, una nongwa km mtoto wa mganga.
Madame S said: Usiwe unapotea sana love, maana nanusurika kupigishwa sound Madame S Click to expand... Wee nawe umeanzA, una nongwa km mtoto wa mganga.
Husna Muba JF-Expert Member Joined Jan 28, 2017 Posts 14,524 Reaction score 44,585 Aug 11, 2017 #260,033 Kumbe Leo mlikeshaa loo naona viporo vya usiku Wa mananee
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Aug 11, 2017 #260,034 makaveli10 said: Wee nawe umeanzA, una nongwa km mtoto wa mganga. Click to expand... labda inawezekana mtoto wa mganga kweli Madame S
makaveli10 said: Wee nawe umeanzA, una nongwa km mtoto wa mganga. Click to expand... labda inawezekana mtoto wa mganga kweli Madame S
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,932 Reaction score 25,245 Aug 11, 2017 #260,035 Jimena said: Sema ni hb hataree Click to expand... Dah kanishinda co!? Sent using Jamii Forums mobile app
Jimena said: Sema ni hb hataree Click to expand... Dah kanishinda co!? Sent using Jamii Forums mobile app
OllaChuga Oc JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 21,932 Reaction score 25,245 Aug 11, 2017 #260,036 Madame S said: Sjambo ollah Madame S Click to expand... Khabari za uko ulipo madam. Sent using Jamii Forums mobile app
Madame S said: Sjambo ollah Madame S Click to expand... Khabari za uko ulipo madam. Sent using Jamii Forums mobile app
Jimena JF-Expert Member Joined Jun 10, 2015 Posts 25,935 Reaction score 96,105 Aug 11, 2017 #260,037 makaveli10 said: Saf tu, sijui zako bibie Click to expand... Buheri wa afya! Kuwamiss tu
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 Aug 11, 2017 #260,038 Jimena said: Leo katika Historia 2012 - Watu takribani 300 wanapoteza uhai mara baada ya kutokea kwa tetemeko la ardhi huko Tabriz, nchini Iran. Click to expand... Miundombinu na makazi yaliharibiwa vibaya Ila kwa wapigaji wa Kagera ingekuwa neema ....
Jimena said: Leo katika Historia 2012 - Watu takribani 300 wanapoteza uhai mara baada ya kutokea kwa tetemeko la ardhi huko Tabriz, nchini Iran. Click to expand... Miundombinu na makazi yaliharibiwa vibaya Ila kwa wapigaji wa Kagera ingekuwa neema ....
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Aug 11, 2017 #260,039 Ollachuga Oc said: Khabari za uko ulipo madam. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Nashukuru Mungu kwema kabisa Madame S
Ollachuga Oc said: Khabari za uko ulipo madam. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Nashukuru Mungu kwema kabisa Madame S
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,011 Reaction score 104,588 Aug 11, 2017 #260,040 husna muba said: mbona Jana ulikuwa unanibembeleza et nikalale kwako!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Click to expand... Khaa.. jaman simlikuwa wawili yann kuyaleta kwenye hadhar bibie.. Na tena si ungeenda tu kulala, kwan ungelala ungegeuka penis snake ama
husna muba said: mbona Jana ulikuwa unanibembeleza et nikalale kwako!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Click to expand... Khaa.. jaman simlikuwa wawili yann kuyaleta kwenye hadhar bibie.. Na tena si ungeenda tu kulala, kwan ungelala ungegeuka penis snake ama